Kikwete mpole ,kikwete dhaifu kikwete sijui nini....

beco

JF-Expert Member
May 7, 2013
1,339
782
hapa vipi sasa...
Screenshot_20180327-203309.jpg
 
Ubaya wa serikali ya awamu ya tano hauhalalishi awamu ya Kikwete iwe nzuri. Kikwete alikuwa rais mbovu. Aliachia kila kitu kijiendee chenyewe. Magufuli anajitahidi kuwajibika. Tatizo lake kubwa ni anavyo-deal na watu wenye mawazo tofauti na yake. Kila awamu itakosolewa kwa mazuri na mabaya iliyonayo!
sijasema awamu ya 5 mbaya
 
Ubaya wa serikali ya awamu ya tano hauhalalishi awamu ya Kikwete iwe nzuri. Kikwete alikuwa rais mbovu. Aliachia kila kitu kijiendee chenyewe. Magufuli anajitahidi kuwajibika. Tatizo lake kubwa ni anavyo-deal na watu wenye mawazo tofauti na yake. Kila awamu itakosolewa kwa mazuri na mabaya iliyonayo!
Tatizo hao ndio waliomfanya afanye ayafanyayo..baada ya kuonekana ya kikwete mabovu..bahati mbaya wamegeuka tena wanasema hapana ya jk ndio mazuri..hata ungekuwa wewe ungeacha kuwatia displini kaka?? Nani angevumilia upuuzi wao?? Labda angekuwa dhaifu zaidi ya kikwete ndiye angevumilia
 
Kila mmoja ana madhaifu yake na mazuri yake.
Kikwete hakugeuza wapinzani kuwa maadui au wasiostaili kuishi kwenye inch yao.
Kikwete alikuwa anashaurika ata kama asitekeleze, ndio maana alikuwa anapiga cheers meza moja na wapinzani na uadui ni jukwaani tu.
Pamoja na madhaifu Mengi ya Kikwete lakini alikuwa na Utu ndio maana kabla hajawa Rais aliitwa mtu wa watu.
Ni mengi sana tofauti kwa mfano enzi za Kikwete watu hawakujuta kumchagua
 
Back
Top Bottom