Huko ndio kufulia kisiasa. 2005 alituahidi maisha bora kwa kila mtanzania. hayo maisha bora yako wapi? Tumechoka na siasa, Hatuli wala hatuinywi siasa na wala hatulali wala kuishi kwa siasa. Tuhahitaji hali nzuri za maisha , maendeleo na si siasa na kutafuta cheap popularity. Atuambie maisha Bora aliyohahidi amepora nani? kama ni siasa poa si kwa watanzania wa sasa
Mimi naona ingefaa apewe maswali ya wananchi kupitia njia alizotaja in advance kisha maswali hayo ayafanyie utafiti halafu atafute muda wa kutoa majibu yenye uhakika! Hayo maswali ya papo kwa hapo amwachie Waziri Mkuu Pinda akiwa Bungeni. Otherwise anaweza akajishushia hadhi kwa utaratibu huu kwa kuwa kunaweza kuwa na maswali ambayo ni embarassing!
Wadau...
Ni Maswali yapi ungependa kumuuliza Rais?
Mimi naona ingefaa apewe maswali ya wananchi kupitia njia alizotaja in advance kisha maswali hayo ayafanyie utafiti halafu atafute muda wa kutoa majibu yenye uhakika! Hayo maswali ya papo kwa hapo amwachie Waziri Mkuu Pinda akiwa Bungeni. Otherwise anaweza akajishushia hadhi kwa utaratibu huu kwa kuwa kunaweza kuwa na maswali ambayo ni embarassing!
Wadau...
Ni Maswali yapi ungependa kumuuliza Rais?
Rais wa nchi hii (kwa maana ya anayeongoza) ni nani hasa?
+255-22-2772448 direct call
+255-22-2772452
+255-22-2772454 pia 0714-591589 (sms) kuna voda na celtel but sijazipata.
swalikwarais@yahoo.com-tuma ujumbe kuanzia leo
Rais wa nchi hii (kwa maana ya anayeongoza) ni nani hasa?
Mimi naona ingefaa apewe maswali ya wananchi kupitia njia alizotaja in advance kisha maswali hayo ayafanyie utafiti halafu atafute muda wa kutoa majibu yenye uhakika! Hayo maswali ya papo kwa hapo amwachie Waziri Mkuu Pinda akiwa Bungeni. Otherwise anaweza akajishushia hadhi kwa utaratibu huu kwa kuwa kunaweza kuwa na maswali ambayo ni embarassing!
Wana JF tusisahau kuuliza maswali maana tuna upeo mkubwa wa mambo!!! Watuhakikishie tu usalama wa maisha na visimu namba vyetu ambavyo tumeregister!!!
Jamani huu ufisadi utaisha lini?nani anayelipia au kufaidika na mapato yatakayopatikana kwa watakao uliza maswali kwa kupiga simu?ni serikali au mitandao husika( voda,tigo,au zain au TTCL? au JK kaingia ubia na haya makampuni kutafuta hela za uchaguzi mwakani?
Ukweli ni kwamba hana huo uwezo wa kujibu papo kwa papo!!
hizi namba ni toll free au?
Jamani jamani mi nimeishiwa nguvu na sitamani hata kuona?auuuu