Kikwete kulalamika majukwaani

Kikwete kulalamika majukwaani

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
kama ni kujiuzulu Kikwete anastahiki kutangaza mara moja amejiuzulu ,yaani kesho ajitokeze na kutangaza ,ni aibu kuendelea kuitwa Raisi wa nchi ,kwa sababu Raisi inakuwaje alalamike kwenye majukwaa kwamba fulani anefuatana na Lissu ndie fisadi linalohusika na Richmond ,

Na Lisu nae amemjibu Kiwete kwamba yeye ndie anaemiliki dili la richmond ,raisi ameshindwa tena ameshindwa katika dakika za mwisho.

Sijui tuitishe maandamano Nchi nzima kumutaka raisi ajiuzulu kwa kuwa anajibizana kwenye majukwaa baada ya kuchukua sheria.
 
Kuna post nilisema rais wa nchi analumbana na common mwanachi magazetini, nikauliza je huyo mwananchi akijibu rais naye anaendelea kujibu? Haijapita siku Lissu kajibu tusubiri rais ajibu tena, Only in Tanzania.

Mimi nmeshangazwa sana aise. Hii ni aibu kubwa.

Najaribu kufkiria kwamba, kama jk atamtaja mmiliki kama alivotishia.

Ni Lazima aweze kujibu maswali haya;
1. Kwahiyo ulimjua siku zote hizo?
2. Kwanini umtaje leo?
3. Wewe kama Rais unadhani ni sahihi kulalamika jukwaani?
4. Wewe kama Rais ulichukua hatua gani kisheria?

Naona JK sjui aliwaza nini kutamka vile. Amejiweka kwenye nafasi mbaya sana.
 
Nasubiri siku jk atakapo mwaga ukweli wote wa escrow na hivyo kumfanya lowassa kuanguka kwa aibu ktk sanduku la kura.
 
Mkuu ana adhilika mchana kweupe. Niliongea hili tokea mwanzo nikisema kwamba, Hawa Marais wetu kama wangependa kustaafu wakiwa wamejijengea heshima kwa watanzania kampeni za siasa za mwaka huu waziachie kamati zilizo undwa ndani ya chama chao. Hili halikutiliwa mkazo na matokeo yake sasa tunayaona kuanzia kwa Mkapa na sasa kwa Kikwete. Ni aibu kwa rais wa nchi kupoteza heshima ya urais Wake kwa kutetea uovu ambao hata mtoto mdogo hawezi kukuelewa endapo utajaribu kuugeuza. Utawala wa rais Kikwete umekubwa na kashfa na ufisadi mkubwa mno mno ambao hata kama angepewa mwaka mzima kuusafisha asinge weza kufanya hivyo. Hayo yametokea. Kubali udhaifu uliotokea waachie wengine nao waonyeshe uthubutu wao pasipo kuwaingilia kwani kwa kumnyooshea mwenzio kidole wakati unajua fika kwamba wewe si msafi haita leta maana zaidi ya kukushushia heshima" Mfa maji haishi kutapa tapa " - wahenga walisema.
 
Faizafoxy toka kwenye mapigano na utekaji njoo huku utoe ufafanuzi.
 
Naamini hautomgusa magufuli kwa namna yeyote, kudhurika itakuwa Edo na washirika wake.
 
Sorry, I mean Richmond kwani ndicho alichokigusia kigoma. Very sorry ndg zamoyoni
 
Sorry, I mean Richmond kwani ndicho alichokigusia kigoma. Very sorry ndg zamoyoni

Swala sio kumgusa Magufuli.

Swala ni: Rais ANAJIDHALILISHA. Analumbanaje na wanasiasa majukwaani badala ya kuchukua hatua stahiki?!

Rais ameshikilia dola, ana haja gani ya kulumbana?! Achukue hatua.
 
Swala sio kumgusa Magufuli.

Swala ni: Rais ANAJIDHALILISHA. Analumbanaje na wanasiasa majukwaani badala ya kuchukua hatua stahiki?!

Rais ameshikilia dola, ana haja gani ya kulumbana?! Achukue hatua.
Kwani Richmond bado ipo? Si mitambo ile walichukua dowans then Symbion ya Marekani au? Sasa tuna haja gani ya kumjua mmiliki wa kampuni ambayo haipo? Guys lets be serious. Halafu JK kasema mmiliki Lisu anazunguka naye halafu Lisu asipomtaja yeye atatoka hadharani kumtaja. Si tayari ameshamtaja ?au ndio yale yale ya Lowasa kuwa amri ilitoka ngazi za juu??? Hee kwani huwezi kusema kutoka kwa nani Raisi??? Politics bana
 
kama ni kujiuzulu Kikwete anastahiki kutangaza mara moja amejiuzulu ,yaani kesho ajitokeze na kutangaza ,ni aibu kuendelea kuitwa Raisi wa nchi ,kwa sababu Raisi inakuwaje alalamike kwenye majukwaa kwamba fulani anefuatana na Lissu ndie fisadi linalohusika na Richmond ,

Na Lisu nae amemjibu Kiwete kwamba yeye ndie anaemiliki dili la richmond ,raisi ameshindwa tena ameshindwa katika dakika za mwisho.

Sijui tuitishe maandamano Nchi nzima kumutaka raisi ajiuzulu kwa kuwa anajibizana kwenye majukwaa baada ya kuchukua sheria.

Bwa'mdogo...mbona hujiulizi maswali ya msingi baada ya kupata hizo taarifa?
Kwanini Lowassa hajakanusha?
Kwanini kazi ya kujibu wamempa mropokaji Lissu?
Kwanini Lowassa hajakubali mdahalo kati yake na Sitta, Mwakyembe? Funguka akili wewe mmekumbatia fisadi...wake up
 
Bwa'mdogo...mbona hujiulizi maswali ya msingi baada ya kupata hizo taarifa?
Kwanini Lowassa hajakanusha?
Kwanini kazi ya kujibu wamempa mropokaji Lissu?
Kwanini Lowassa hajakubali mdahalo kati yake na Sitta, Mwakyembe? Funguka akili wewe mmekumbatia fisadi...wake up

Hahaha hivi kumbe dawa ya fisadi ni midahalo na wakina sitta na sio mahakamami?hii mpyaaa
 
Wewe umechanganikiwa lowassa hajajibu wakati alisema kwamba anayejua richmond ni kikwete

halafu unasema lowassa afanye mdahalo na sitta hivi una akili zinazofanya kazi? Uliwahi kusikia wapi
njia ya kumkamata mwizi ni kufanya mdahalo naye?
Mbona hatukusikia watu wa epa wakiitwa kufanya midahalo? Hivi mwakyembe aliposema kuna mambo tumeyaacha ili serikali isianguke na kwa kukilinda chama alimaanisha nini?
Kwanini maazimio yote yaliyoazimiwa baada ya lowassa kujiuzulu hajatekelezwa? Unajiropokea tu
fanya utafiti kabla ya kuongea
 
Faizafoxy toka kwenye mapigano na utekaji njoo huku utoe ufafanuzi.

Mapigano gani alshabab, huyu mbibi amekula kiapo kamwe hawezi kwenda kinyume yuko radhi kukatwa kichwa. Hivi majuzi alipost kuhusu ugonjwa wa mgombea nikahofu faiza foxy ni Mungu anayeshikilia roho na afya ya mwanadamu.
 
Bwa'mdogo...mbona hujiulizi maswali ya msingi baada ya kupata hizo taarifa?
Kwanini Lowassa hajakanusha?
Kwanini kazi ya kujibu wamempa mropokaji Lissu?
Kwanini Lowassa hajakubali mdahalo kati yake na Sitta, Mwakyembe? Funguka akili wewe mmekumbatia fisadi...wake up
Sitta na mwakyembe sio size ya lowassa,lowassa mdahalo afanye na magufuli sio hao,midahalo ya nn si waende mahakamani?
 
Mimi nmeshangazwa sana aise. Hii ni aibu kubwa.

Najaribu kufkiria kwamba, kama jk atamtaja mmiliki kama alivotishia.

Ni Lazima aweze kujibu maswali haya;
1. Kwahiyo ulimjua siku zote hizo?
2. Kwanini umtaje leo?
3. Wewe kama Rais unadhani ni sahihi kulalamika jukwaani?
4. Wewe kama Rais ulichukua hatua gani kisheria?

Naona JK sjui aliwaza nini kutamka vile. Amejiweka kwenye nafasi mbaya sana.
Na akumbuke hotuba aliyotoa alipokubali kujiuzulu kwa Lowassa
 
Ngoja aingie ikulu El walioliibia taifa wajipange
 
Back
Top Bottom