KIKWETE huyooooooo FINLAND

KIKWETE huyooooooo FINLAND

Acha uzushi km huna uhakika ni vizuri kutopost ishu yoyote
 
Kaenda kwa camerun (uk) kuomba hela ya kuwalipa ma DR,na hapo imekula kwetu.
Ma Dr watalipwa ila ushoga utaruhusiwa.
 
Asanteeeeeeeee! Lupumba aliwakutuonya kuwa kazi ngumu usimpe ******! Kwa kuwa wakwere ni watu Wa shughili za kijamii zaidi.......kuhani Misiba, harusi kidogo, bembea kwa wingi! Akirudi utasikia ameenda India kumuangali "Shost" Yake lowasa. Ama kweli huyu ni mzee Wa ku-by time!

Kuna taarifa kuwa Rais yuko njiani kuelekea FINLAND

Hii imekuwa siri kubwa maana mgomo wa madaktari umefikia pabaya

Leo TBC wanaweza kutoa habari ya kuwa Rais yupo lakini picha zitatoka maktaba

images

Usiniulize sosi
 
"Ndo tatizo la kumpa mtu mshamba nchi, atatumia urais kwenda kutalii kule ambako hakuwahi kufika" Source: Hashim Rungwe 2010
 
basi kama vipi asirudi ...aende moja kwa moja ..

Kama ningeambiwa nitowe maamuzi!!

Yani huyu asingetakiwa kurudi hapa Nchini na abaki huko huko alikozoea kuwatembelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,tuna hasara sana na huyu binadamu.
 
mwacheni mzee akapunguze stress bwana, hata huruma hamna.... nenda ewe mtalii wetu na hakikisha unaogelea ukifika na kwenda club ili kichwa kitoke uchafu wote wa mawazo ya watanzania
 
Mimi sitaki kuamini kama ni kweli. lakili kamz ni kweli tunapaswa kufanya jambo la ziada na sio kupost tu kwenye JF.
 
Hivi hammjui huyu KUPENGWA NI tapeli!!! yeye mwenyewe ni Gamba sasa anataka kuona reaction ya watu hapa...nenda uwambie tuna hasira sana na mzaha mzaha huu msishangae unawaharibia moja kwa moja
 
kama ningeambiwa nitowe maamuzi!!

Yani huyu asingetakiwa kurudi hapa nchini na abaki huko huko alikozoea kuwatembelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,tuna hasara sana na huyu binadamu.

asa atakula nini,!??
Lazma aje kuchkua
kodi zetu then
aendelee kutalii
mungu wanguweee
tuondolee hili balaa
 
Anaenda kutibiwa mafua.jamani tuwaunge mkono wanaharakati tunakufa jamani.
 
Back
Top Bottom