GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Nilisema mimi . JF sasa umekuwa ukumbi wa wapiga ramli!!!
sasa hapa ramli imeshindwa. JK yupo huko huko magogoni anaendelea na kazi kama kawaida.
Nashauri. WanaJF lazima mtoe mambo mkiwa na uhakika sio kuendekeza ramli.
JF imepoteza mwelekeo kimekuwa ni kijiwe cha wabangaizaji wa habari !