Lakini hapo nadhani pana ulazima wa kuwepo yeye, JK nakutakia safari njema uende urudi salama. Ila ukifika usifuke sasa,
Unakusudia haachi kufuka? Kufuka kwa wasiolelwa ni kuongea mivuke au pointless.Mkubwa! Huyu haachi kuvuka!
Labda wewe ulipi kodi.watanzania wanawivu sana
Unakusudia haachi kufuka? Kufuka kwa wasiolelwa ni kuongea mivuke au pointless.
Labda wewe ulipi kodi.
Watu wameshamshitukia kuhusu hilo, wanachohitaji si kufuka tena bali utendajiVipi kuhusu "kufuka with a smile"?
Haha! This time itakuwa kaendea viatu vya kuvalia zile suti...Ameenda kutafuta suti nyingine.