nilitegemea JK kampeni zake za kipindi hiki kuwa za utulivu zaidi ya zile za 2005 kwa sababu tayari ameshakuwa madarakani na ametekeleza yale aliyoahidi. kwamba hana sababu ya kuwa na hofu kwa sababu waTZ ni waelewa na hawawezi kumlipa ubaya(kutomchagua) kwa wema wake aliowatendea(kutimiza ahadi) kwa sababu inafahamika mtenda wema hulipwa kwa wema(sidhani kama hili limabadilika) au waTZ ni wabaya kiasi hicho kwenda kinyume na hoja hiyo.lakini hali haiko hivyo gharama inayotumiwa ni kubwa zaidi( angalia wingi wa mabango, kama yanalipiwa lakini!),helcopter (kuna wakati mpaka tatu, imeripotiwa hii), machapisho ya fulana na vipeperushi vingine.kwa kweli naamini hii gharama itavunja rekodi ya matumizi katika kampeni za CCM.hoja yangu ni, je JK anahofu ya nini wakati yeye tayari ana mtaji wa utendaji wake kufahamika na wananchi? au wananchi hawa ni mbumbumbu kiasi kwamba wanasahau haraka sana mema waliyotendewa yaani wanadanganyika kirahisi zaidi?. mimi nadhani ambao wanastahili kufanya kampeni kwa nguvu zaidi ni wagombea ambao hawajawahi kuendesha nchi kwa sababu wao ndio wanastahili kuwashawishi wananchi zaidi ili wawaamini na sio ndugu JK. napata mashaka na hili.
ccm tunapesa bwana thus why! Upinzani hawana pesa! wananchi wanaipenda ccm na wamechangia saana chama chao!
unajua hata mm najiuliza sana mgombea huyu tunayeambiwa ana rekodi ya mafanikio kuliko raisi yeyote aliyewahi kutokea tz, mgombea aliyeleta maisha bora kwa kila mtanzania kwa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya. Mgombea anayekubalika, mwenye upendo, asiye na makuu, mkulima kama sisi.................
Sasa ni kwa nini kampeni ya gharama kuliko nadhani yoyote iliyowahi kutokea tanzania, media polarization, media zote za serikali kwake.............
Doesn't this tell us otherwise kuhusu huyu mgombea????????
ccm tunapesa bwana thus why! Upinzani hawana pesa! wananchi wanaipenda ccm na wamechangia saana chama chao!
ccm tunapesa bwana thus why! Upinzani hawana pesa! wananchi wanaipenda ccm na wamechangia saana chama chao!