Kikwete awasili South Africa

Status
Not open for further replies.
amepokelewa na mwamvita,moja ya shughuli atakazofanya akiwa sa ni kujionea na kusikia malamiko juu ya balozi wa tz nchini sa,na by the way kama muda utaruhusu atamtembelea kibanda ili aweze kunogesha hotuba ya mwisho wa mwezi

Mwamvita? he?....au!!! Kibanda kaacha mkewe wa kwanza nasikia. Kwa iyo?!!! au..... Mwamvita? Ila kale katoto bomba sana aise. Ata mimi ningebadili dini. Chadema nini bana....
 
Dr. Slaa amesharudi kutoka Israel?

Na Mh. Mnyika naye amesharudi kutoka UK?

Mwenye record na budget ya safari zao (Dr. Slaa na Mh. Mnyika) ninaomba anisaidie kuziweka hapa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

secretary mfukuzwa wa dr... sasa unapenda kujibu mapigo hongera sana, dr slaa kaenda kwa personal issue zake, mkwele anaenda kama taasisi ya urais au familia
 
Anayehoji safari za Wenje Mnyika Mbowe na Slaa hana akili! Wao wanatumia ruzuku za chama, sisi tunahoji huyu atumiaye kodi za wananchi!

Hhehhehhe kunawatu hawapend kabisa kusikia kashfa chadema hhehhe
 
Akitoka huko aje asikilize na malalamiko ya watanzania kuhusu mtoto wake Ridhiwani!

Forget it. Aje huku? No way ataenda last respect ya Hugo Chavez, then Kenya kumpongeza Uhuru. Nyie mtakalia kuchonga tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom