ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,341
UKAWA WAMEDHIHIRISHA HAKUNA WANACHOKIPIGANIA ZAIDI YA MADARAKA
Ni mambo matatu tu yaliyowalainisha UKAWA
1.Tume huru ya Uchaguzi
2. Matokeo ya Urais kupingwa Mahakamni
Mgombea Binafsi
Baada ya JK kugundua nini mahitaji ya UKAWA , kazi yake ikawa rahisi sana. Hakuna cha Kodi ya wananchi Inayopotea, hakuna cha haki ya Wakulima, wafugaji, wavuvi wala afya ya Watanzania. Walipokubaliwa tu kile wanachoamini kinaweza kuwasaidia kupata madaraka, haooooo, wakamshika mikono JK kwa tabasamu kubwa.
Bado tutaendelea kuwajifunza watu wanafiki kama UKAWA , siku hadi siku
My take; hongera mama salma kwa juice tamu ya magogoni. Umejifunzia wapi?
Ni mambo matatu tu yaliyowalainisha UKAWA
1.Tume huru ya Uchaguzi
2. Matokeo ya Urais kupingwa Mahakamni
Mgombea Binafsi
Baada ya JK kugundua nini mahitaji ya UKAWA , kazi yake ikawa rahisi sana. Hakuna cha Kodi ya wananchi Inayopotea, hakuna cha haki ya Wakulima, wafugaji, wavuvi wala afya ya Watanzania. Walipokubaliwa tu kile wanachoamini kinaweza kuwasaidia kupata madaraka, haooooo, wakamshika mikono JK kwa tabasamu kubwa.
Bado tutaendelea kuwajifunza watu wanafiki kama UKAWA , siku hadi siku
My take; hongera mama salma kwa juice tamu ya magogoni. Umejifunzia wapi?