very stupid!
Mzee Jasusi, dont argue with fools, u are very senior guy, achana nao hao
very stupid!
Viongozi wa CHADEMA hubatizwa na SLAA kwanza, hicho kitu alichokataa ZITTO na ndiyo maana unaona kila kukicha anaandamwa.
Tatizo siyo CHADEMA, tatizo elimu ya anaeongoza chama, unaweza kuwa na uwezo wa kuongea sana lakini kama hauna elimu ya kutosha utakuwa unabwabwaja tu. Pale CDM hakuna mfumom unaoleweka wa uongozi na ndiyo sababu ya wao kukataa kuwashirikisha CUF, wale ni vichwa na wangeingiza mambo ambayo yatashinda upeo wao wa kuchanganua mambo.
unamuhimu gani kwake mpaka ababaike na chuki zako? Sisimizi bana.
Tatizo siyo CHADEMA, tatizo elimu ya anaeongoza chama, unaweza kuwa na uwezo wa kuongea sana lakini kama hauna elimu ya kutosha utakuwa unabwabwaja tu. Pale CDM hakuna mfumom unaoleweka wa uongozi na ndiyo sababu ya wao kukataa kuwashirikisha CUF, wale ni vichwa na wangeingiza mambo ambayo yatashinda upeo wao wa kuchanganua mambo.
kikwete awafanyie nini Kikwete ili waridhike?
yatokee kama ya MWEMBECHAI kama ya Mh Mkapa ndio chadema iridhike?
Mzee Jasusi, dont argue with fools, u are very senior guy, achana nao hao
Aende akabatizwe pia!