BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,994
- 2,045
sio awafanyie nini chadema, ni awafanyie nini wananchi, afanye yafuatayo:
1) apunguze wizi kwa hizo 10% na makampuni ya mifukoni kama Richmond
2) aache kuzurura na akae kuwatumikia wananchi
3) akemee kwa dhati udini aliouanzisha na awe na mikakati ya dhati ya kuumaliza badala ya yy nae kulalamika
4) apunguze mfumuko wa bei
5) ajali maslahi ya wafanyakazi.
Mkuu katika mambo ambayo nitamchukia mpaka kufa huyo Kikwete ni hapo kwenye red.