Kikwete awafanyie nini CHADEMA ili waridhike?

Kikwete awafanyie nini CHADEMA ili waridhike?

Atimize ahadi zake kwa watanzania. Naona kavuta bilioni 29 kufuatilia ahadi tayari! Tunasubiri atimize ahadi - aache kuzurura kwenye mazishi.
 
kikwete awafanyie nini Kikwete ili waridhike?
1. Akamilishe ahadi alizoahidi zote
2. Awakamate EPA, MEREMETA, IPTL, DOWANS, RICHMOND
3. Ashughurike na mafisadi
4. Ashughrike na ile list ya wafanya uchafu aliyosema anayo ya kule bandalini
5. Ashughurike na mapapa wa wizi na si vidagaa
6. Awataje waliorudisha hela za EPA
7. Aache tabia ya kuhamisha hamisha watu pindi wanapofanya makosa serikalini, awawajibishe.
8. Awashughurikie wote wanaohusika wote wanaohusika na utekaji na utesaji wa wananchi
9........
 
Awakamate usalama wa taifa walio taka kumuuwa dk. Mwakyembe na waliomteka na kumtesa dr. Ulimboka
 
..awe mkweli tu yatosha, maana naamini akiwa mkweli atajiuzuru tu...
 
sio awafanyie nini chadema, ni awafanyie nini wananchi, afanye yafuatayo:
1) apunguze wizi kwa hizo 10% na makampuni ya mifukoni kama Richmond
2) aache kuzurura na akae kuwatumikia wananchi
3) akemee kwa dhati udini aliouanzisha na awe na mikakati ya dhati ya kuumaliza badala ya yy nae kulalamika
4) apunguze mfumuko wa bei
5) ajali maslahi ya wafanyakazi.
 
Awakamate usalama wa taifa walio taka kumuuwa dk. Mwakyembe na waliomteka na kumtesa dr. Ulimboka
 
kikwete awafanyie nini Kikwete ili waridhike?
siyo CHADEMA bali ni wananchi usiulize maswali mepesi kwenye mada ngumu kama hizi kama uelewa wako mdogo kaa kimya the difference between the stupidity and genius is that genius has its limits- Albert Einsten
 
Well said Mkuu! Tatizo la magamba ni upeo wao mdogo wa kufikiria!
siyo CHADEMA bali ni wananchi usiulize maswali mepesi kwenye mada ngumu kama hizi kama uelewa wako mdogo kaa kimya the difference between the stupidity and genius is that genius has its limits- Albert Einsten
 
Back
Top Bottom