Huu ni Usia wa Mwisho kwa Chadema...
Nawataarifu tu kwamba kuna uwezekano mkubwa sana wa Kikwete kushinda uchaguzi huu ikiwa Chadema watazembea ktk kuweka wasimamizi sehemu ambazo wao hawakusimamisha mgombea iwe Mbunge au Diwani.
Toka nimesoma michango mingi ya wana Chadema hapa kijiweni inaonyesha kwamba nguvu kubwa ya chama Chadema imewekwa sehemu ambazo wamesimamisha wagombea na ikumbukwe tu kwamba kwa kila sehemu ambayo Chadema haikusimamisha wagombea wake ktk Ubunge na Udiwani bado Dr.Slaa ni mgombea, hivyo kutokuweka msimamizi ina maana kura zote ktk vituo hivyo zinaweza kuchakachuliwa na kupewa Jakaya Kikwete.
Hivyo ni muhimu kwa Chama Chadema kuweka wasimamizi ktk kila kituo cha kupigia kura regardless ili kuhakikisha ushindi wa Dr.Slaa unapatikana, laa sivyo Chadema kama chama kitakuwa hakikumtendea haki mgombea wetu wa kiti cha Rais na wananchi kwa ujumla.
Tusije mlalamikia Mungu kwani yeye kisha ifanya kazi yake..
Nawataarifu tu kwamba kuna uwezekano mkubwa sana wa Kikwete kushinda uchaguzi huu ikiwa Chadema watazembea ktk kuweka wasimamizi sehemu ambazo wao hawakusimamisha mgombea iwe Mbunge au Diwani.
Toka nimesoma michango mingi ya wana Chadema hapa kijiweni inaonyesha kwamba nguvu kubwa ya chama Chadema imewekwa sehemu ambazo wamesimamisha wagombea na ikumbukwe tu kwamba kwa kila sehemu ambayo Chadema haikusimamisha wagombea wake ktk Ubunge na Udiwani bado Dr.Slaa ni mgombea, hivyo kutokuweka msimamizi ina maana kura zote ktk vituo hivyo zinaweza kuchakachuliwa na kupewa Jakaya Kikwete.
Hivyo ni muhimu kwa Chama Chadema kuweka wasimamizi ktk kila kituo cha kupigia kura regardless ili kuhakikisha ushindi wa Dr.Slaa unapatikana, laa sivyo Chadema kama chama kitakuwa hakikumtendea haki mgombea wetu wa kiti cha Rais na wananchi kwa ujumla.
Tusije mlalamikia Mungu kwani yeye kisha ifanya kazi yake..