Mheshimiwa Mwl Steve
Senior Member
- Nov 3, 2012
- 139
- 40
Kwenye mkutano mkuu wa nane wa chama cha mapinduzi,mwenyekiti amekuwa akitumia kauli tata akiita CCM kuwa chama ''dume'' na jana akaongeza kuwa chama dume tena dume la mbegu.Mi nadhani kwa nafasi yake ya urais na ile ya uenyekiti wa chama si sahihi hata kidogo kutumia maneno hayo kwa sababu CCM si chama cha wanaume peke yao.Hivi wanawake wanaojitambua wanapoambiwa kwamba wako kwenye chama dume wao wanajisikiaje? Na akitokea mtu akaita ccm kuwa chama JIKE? Najua watachukia.Inakuwaje rais wa nchi anakuwa gender biased? Wanawake kwa kauli hii wamedhalilishwa. I stand firm on my feet to be corrected!