Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,310
Wewe ***** nini? Kwa hiyo unafurahia mfumo ambao hata hivyo matokeo yake hayana faida kutokana na kutotumiwa kuwaadhibu waliokosea. Kweli akili za nyani hazimfai mbuzi.
Sasa kaa barabarani wewe na familia yako msubiri msafara wake mumpe sifa.
huyu Raisi hana lolote. Kaka hujui the reason behand open audited report kwa public. ni shininizo ili budget yetu iweze kuwa finance na wanagharibi. kikkwete hana uwezo wa kuruhusu haya ila ni mashinikizo ya mataifa ya njke,ifm pamoja na world bank. na pia anakozungukazunguka amepewa mashart kadhaa ya kupewa misaada na mikopo. Mfano ni wewe uko na kiashara yako na wataka kukopa toka bank, u have to produce audited financial report(by public auditor) which then will create confidence to the lender to have assurance of your financial position. Hivyo kaka kama sion
hawa watu mngelala macho wazi mkisubiri report. rejea Mkutano wa Brazili juzi hotuba zake do utapata the reason behind. na yote haya ni withing wimbo wa wamagharibi wa Good Governance for sustanable development ambapo kwa tanzania ni karib ia zero. Mfano wa good governance
1. Transparence and open information system??
2. enhence human rights/rule of law??
3. integrity??
4. accountability??
5. participation??
6. responsiveness
7. equity and inclussiveness??
8. effectiveness and efficience??
9. strategic vision??
10. predictability / reliability??
jk na serikali yake inatenda yepi kama xsio magulumash tu????
Mfumko wa bei ulianza leo? bado ushukuru Mungu kuna mfumko wa bei lakini unamudu kula kila siku. Kuna vitendo zaidi ya hivyo unavyoviona? ulikuwa unaweza hata kusema awamu zilizopita? labda umezaliwa juzi na haujui tulipotoka.
Wakati wa Nyerere hata kwi, ulikuwa huwezi kusema, thubutu umuulize matumizi, kaachia ngazi akachoma moto na benki kuu, ulishasikia hilo? au wanaokuhadithia habari za Nyerere hilo hawakuelezi?
Better to stumble with toe than toungue.
Usiwe na fikra finyu, kwani zamani kulikuwa hakuna audited report? zilikuwepo lakini ilikuwa marufuku kuzijadili bungeni. Kikwete ndio kafunguwa hiyo, na ni yeye ndiye aliyesema ni mwaka mmoja tu, zamani zilikuwa zinatolewa baada ya miaka 5, kafumuwa yote ile system. Unafikiri serikali yake ilipata tuzo ya utawala bora kutoka umoja wa mataifa kwa kukisia?
Ulitaka Kikwete aende mahakamani? kisha wawekea mfumo ambao unawaonesha madudu yako wapi, sasa ni ninyi kushinikiza madiwani wenu waanze kupeleka kesi mahakamani, ubadhirifu mkubwa unaanzia huko chini, au hujaisoma ripoti ya CaG?
Yaani we acha tu... Ritz, leo nasheherekea matunda ya uongozi bora kwa bia baridi hapa Udzungwa lodge. Nani kama JK na wapendwa wake?
AAH Ukiwa kwenye payroll yake huoni baya. Sasa sisi wa kambo ndio kibano. JK Afanye mambo mawili tu nitamwona wa pekee moja atengue mikataba ya umeme pili ampeleke slaa mahakamani kwa kumchafua.
Baada ya Rais Kikwete kuunda upya mfumo wa ukaguzi wa mahesabu ya Serikali na baada ya kulazimisha ukaguzi huo uwe unafanywa kwa haraka zaidi, sio kama ilivyokuwa kwa uongozi wa kabla yake, na baada ya kufanya kila njia hesabu hizo ziwe zinajadiliwa kwa uwazi bungeni. Tunaona matunda yake.
Kikwete, unastahili kila sifa njema kwa kuwa mwenye kutoa na kufanya maamuzi kidemokrasia bila kuchukuwa hatua mkononi mwako (udikteta). Tunaona CAG ilivyofanya kazi, hakuna aliyetegemea kama itakuwa hivi.
Wapinzani, wameirukia hoja kama vile ni ubunifu wao, wanasahau kuwa wewe ndiye muasisi wa huu mfumo mpya na wewe ndiye uliyemteua Utoh.
Wanasahau pia kuwa wewe ndiye uliyeamuwa na kuanzisha mfumo wa hizi ripoti za mkaguzi mkuu zijadiliwe bungeni, hakuna aliyekuwa na moyo huo kabla yako. Mungu akuweke uendelee kuonesha njia.
Hayo uliyoyaona uliyaona kabla? Huko unapopataja kuna hesabu za usalama wa Taifa ambazo haziwekwi wazi hata kidogo, wacha kuwa mzembe wa kufikiri.
Exactly! Yaani usipokuwa ndani ya circle yake imekula kwako. What a shame?
Apongezwe kwalipi kubwa alilo fanya?tunataka wezi wote wafikishe maakamani nawafungwe naku filisiwa sababu ushaidi wa CAG UPO.
Kwani uliposema tumsifie ni yeye anayefanya hesabu za CAG?
Sasa tusifie nini basi? Tusifie mfumo au matokeo ya jumla ya kazi? Kweli wewe kilaza. Kwa hiyo ukiwa unasahihisha mitihani, yule aliyepiga mistari vizuuuuri ktk karatasi la majibu ndio shujaa wako hata kama baada ya hiyo mistari hakuandika jibu lolote?! Duh, kweli kikwete ana washauri
Ni kweli raisi anaweza akawa anastahili sifa lakini sio kama unazompa wewe sababu umezizidisha mno nway tuyaache hayo ya sifa...........Lini mtakuwa na fikra za kizalendo...acheni maswala ya kipumbavu, kila kinachotokea chenye maslahi kwa taifa mnaanza kuleta maswala ya kuibiana hoja.....Tuliona wote bungeni vyama vyote vilikemea haya mauzauza, sasa haya yote ya hoja ni ya huyu au yule yanatoka wapi...huo upuuzi hapo nyuma ulikuwa unafanyika ambapo unakuta vyama vya upinzani vinasema kitu fulani chama tawala kinapinga na mambo yako wazi kabisa....sasa wamejifunza nakuanza kuangalia maslahi ya taifa kwanza mnaanza kuleta story za kuibiana hoja....msiturudishe nyuma bana..acheni upuuzi wenu! Hoja haikuwa ya magamba wala nani ilikuwa ya wananchi tulio wachagua Rais mpaka mwenyekiti wa kitongoji!Baada ya Rais Kikwete kuunda upya mfumo wa ukaguzi wa mahesabu ya Serikali na baada ya kulazimisha ukaguzi huo uwe unafanywa kwa haraka zaidi, sio kama ilivyokuwa kwa uongozi wa kabla yake, na baada ya kufanya kila njia hesabu hizo ziwe zinajadiliwa kwa uwazi bungeni. Tunaona matunda yake.Kikwete, unastahili kila sifa njema kwa kuwa mwenye kutoa na kufanya maamuzi kidemokrasia bila kuchukuwa hatua mkononi mwako (udikteta). Tunaona CAG ilivyofanya kazi, hakuna aliyetegemea kama itakuwa hivi.Wapinzani, wameirukia hoja kama vile ni ubunifu wao, wanasahau kuwa wewe ndiye muasisi wa huu mfumo mpya na wewe ndiye uliyemteua Utoh.Wanasahau pia kuwa wewe ndiye uliyeamuwa na kuanzisha mfumo wa hizi ripoti za mkaguzi mkuu zijadiliwe bungeni, hakuna aliyekuwa na moyo huo kabla yako. Mungu akuweke uendelee kuonesha njia.
Na itakuwa ni UMOJA WA MATAIRA hao hao ndio walimpa udaktari. Utawala bora na utawala wa sheria haviachani mbali: Na ndio maana polisi wanaweza kuua wafanya biashara kwa kuwaita majambazi na bado wanatesa uraiani.
Na nafikiri mwaka huu pia atapata tuzo nyingine ya utawala bora kwa:
1. Mauzo ya TWIGA Qatar
2. Kashfa za mawaziri kutafuna fedha za umma
3. Kuwa na mwanasheria mkuu anayeisimamia serikali kununua rada kimagumashi
4. Migao ya umeme inayotokana na rushwa na urasimu
5. Kufaulu kwa kilimo kwanza (kwa ujinga wako utakuwa hujui kuwa mpk sasa kilimo kwanza ni hadithi tu)
Kwa kweli ni mazuri meeeengi sana ambayo inabidi wewe na familia yako mumsifie kikwete, loh!
By the way, who are you? Manake inaonekana una akili sana wewe, no doubt utakuwa mshauri wake