Kikwete anamwogopa Sitta?

Kikwete anamwogopa Sitta?

nkosikazi

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2010
Posts
361
Reaction score
337
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?
 
Ataliona vipi wakati serikalini hakuna ushirikiano, kila mtu anazungumza lake. Kila mtu n zaidi ya mwenzake. No ushirikiano.
 
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?

Wewe ni mjinga, alichesema sitta amekosea nini? Serikali imekurupuka baada ya kagame kumtisha kikwete!
 
Mleta mada inaonekana umezoea "HEWALA BWANA" haiwezekani kila kitu ukubali hata kama unaona ni makosa,eti tu kwasababu kasema fulani,yupo ndani ya Serikali pengine anajua zaidi nini kimefanya hao wahamiaji wafurushwe na pengine aliona hiyo sababu haina mashiko na taratibu hazikufuatwa......wacha aseme kilichopo moyoni mwake.
 
Sawa boss ila, mmmmm! taasisi ta uwajibikaji wa pamoja ndo taasisi gani.........!!!!
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?
 
Kwa maana hiyo vingozi wote wenye mtizamo tofauti na Rais wafukuzwe siyo?
 
sitta kukosaa ni haki yake kikatiba sasa hivi JK kaamua kukosolewa sio kama wa henzi hizo za kukosa chama alafu siku ifuatayo unakufa kama vile Kolimba aliyesema CCM haina Dira kwa sasa hakuishi tena; pengine wangemuacha atoe ufafanuzi. Mbona Lowasa alisema CCM KUNA BOMU linalotaka kulipuka nalo ni ajira kwa vijana
 
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?

Umeandika hii thread kwa kuwa unauelewa wa mambo?ama umesukumwa na MB za kujiunga?nkubaliana na samweli sitta...nchi haiwezi kwenda mbele kama kila kitu itakuwa ndiyo mzee...kesho mzee atasema kilimanjaro tummpe mchina,au atasema dawa za kulevya zitozwe ushuru...huna akili kama alivosema dadangu Rihana
 
Mnasema SHIBUDA ni mwiba mkali kwa CHADEMA?! CCM na nyie mzigo huo hapo utuweni basi tuone!!
 
Jakaya amuogope Sitta??? Jk Mtu mzima anajua Kampen Meneja wake wa Zamani anayumbishwa na Kimbunga kikali sana kinaitwa Lowassa kinatembea kwa mwendo kasi wa km 2015 kwa saa kutoka Monduli kuelekea Magogoni, Mtu kamfurusha kwenye Uspika wa Bunge, kamfurusha mkewe kwenye Uwaziri bado tuseme anamuogopa?? Kama kweli jk alikosea kutoa wiki mbili kwa nn hakukosoa ndan ya ule muda wa wiki mbili kasubir Zoez limeanza ndio anaanza kulaumu, Huyu Babu hakuagana na Nyonga wakat anataka kuruka!
 
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.
Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?

Una fikiri serekali ni vilaza kama wewe kichwa chako cha matope anacho kifanya Sitta ni uhuru wa habari na ipo kwenye katiba una firiki ccm kama chadema kinavyo kurupuka tu kwenye mambo ya msingi nenda kanywe chai mkuu
 
Ataliona vipi wakati serikalini hakuna ushirikiano, kila mtu anazungumza lake. Kila mtu n zaidi ya mwenzake. No ushirikiano.

Hawa mawaziri are taking advantage of the leadership vacuum in the country; ndio maana hata wakina Mwakyembe wanajifanyia mambo wanavyotaka contrary to existing laws that guide different corporations, and they are getting away with it!!
 
Kwani hiyo ni SIRI?Wewe unafikiri watu waliomuita JK ni dhaifu walikurupuka?

Kwanza anawaogopa watu wengi sana na ifuatayo ni orodha ya watu anaowaogopa:

1.wauza madawa ya kulevya;Ana orodha yao lkn wala hajawachukulia hatua.
2.Majangili wa tembo wetu;Ana majina ya majangili wa tembo lkn ndio kwanza kawapa uongozi ndani ya CCM
3.PK;Amem-hit kwa kuwashawishi viongozi wengine wa EAC waitenge Tanzania kwenye shirikisho lkn ndo kwanza amekaa kimya kana kwanza tulimchagua awe rais wa kukaa kimya bila kuwajibika.
4.Wakuu wa polisi wameua waandishi wa habari kwa kuwaogoma akawapandisha na vyeo kabisa.
5.Kwa kumuogopa waziri mkuu wala hakumwambia awajinike kwa kuvunja katiba ya jamuhuri wa Tanzania!

Need to say more?

Unahitaji USHAHIDI gani zaidi ya huu!
 
If the main account is at all accurate.Then.

1. Kikwete anakiogopa hata kivuli chake.
2. Kuwa mvumilivu kwa upinzani si kitu kibaya.
3. Flexibility and tolerance does not mean abandoning the principles of collective responsibility. Good governance requires unison on the part of the cabinet, at least publicly.
4. Sitta, even if right, in publicly dissenting while in government, violates collective responsibility. Dissenters have their rightful place. The back benches.

Mpaka a cabinet minister anamkosoa rais publicly, hakuna vikao vya cabinet?

Hakuna simu?
 
Ni mara nyingi sana Sitta amekuwa akipingana na msimamo wa serikali ambayo yeye ni mmoja wa viongozi wake waandamizi. Amekuwa akifanya hivyo openly kabisa kwa kwenda kwenye vyombo vya habari na kuipinga na kuikosoa serikali.Hivi karibuni Amiri Jeshi Mkuu, ambaye pia ndiye rais wa nchi ameagiza wahamiaji haramu waondolewe hapa nchini. Naamini hili limefanikiwa vizuri sana. Ajabu anatokeza mheshimiwa Sitta na kulikosoa zoezi lililoanzishwa na Boss wake mbele ya vyombo vya habari! Si mara ya kwanza wala ya pili bali ni mara ya kumi sasa akiwa tofauti na msimamo wa serikali na pia chama chake. Iliwahi kutolewa hoja na kina Mgeha kuwa Sitta afukuzwe uanachama, lakini hii hoja haikushika kasi na bado Kikwete ameendelea kumkumbatia. Kwa kweli sijajua mantiki ya kuwa na kiongozi kama Sitta kwenye baraza la mawaziri. Ningelikuwa Kikwete ningeisha mtema siku nyingi sana! Anaidhoofisha sana taasisi ya uwajibikaji wa pamoja. Pia anaidhoofisha sana taasisi ya Urais. Hili Kikwete halioni?
Mkuu JK ni sharp sana, aliweka pima joto akaona mtu kama Sitta akiachwa nje ya Baraza la Mawaziri, chama kitakuwa na viikundi active, which is not healthy 4 the ruling party ndio maana wana siasa maverick kama Mzee Sitta walipaswa kuwa-nipped in the buddy timely - hayo ni maoni yangu.
 
Mpaka hapo naendelea kuwahesabu wahamiaji haramu humu JF wakiongozwa na Ruzibiza.
Sita yule ni mhanga aliyejeruhiwa kwa kuukosa uspika bado anaganga majeraha kwa kuamini Kikwete hathubutu Kumtosa.
Hata tamko lake kuhusu Kutengwa Tanzania EAC, kwa Sita nimfahamuvyo limekuwa too low, too diluted. Kikwete piga chini hii kitu acha uoga.
 
Last edited by a moderator:
If the main account is at all accurate.Then.1. Kikwete anakiogopa hata kivuli chake.2. Kuwa mvumilivu kwa upinzani si kitu kibaya.3. Flexibility and tolerance does not mean abandoning the principles of collective responsibility. Good governance requires unison on the part of the cabinet, at least publicly.4. Sitta, even if right, in publicly dissenting while in government, violates collective responsibility. Dissenters have their rightful place. The back benches.Mpaka a cabinet minister anamkosoa rais publicly, hakuna vikao vya cabinet?Hakuna simu?
Loh! Mkuu Kiranga kiboko ndio maana napenda sana kusoma posts zako, niwe mkweli hapa item No.4 ni funga kazi - nimecheka mpaka karibu ya kuzimia! Sina shaka Mzee Sitta ataisoma siku nzima na atachukuwa mahamuzi magumu yakuwa a back bencher the soonest. Bravo mzalendo KIRANGA.
 
Una fikiri serekali ni vilaza kama wewe kichwa chako cha matope anacho kifanya Sitta ni uhuru wa habari na ipo kwenye katiba una firiki ccm kama chadema kinavyo kurupuka tu kwenye mambo ya msingi nenda kanywe chai mkuu

Huwa nikisoma Comment zako napata picha kuwa una ujauzito unaokusumbua sana. Matapishi unayoyamwaga jukwaani sio ya kawaida. Ushauri wa bure bibie..... Si lazima kuutangazia ulimwengu kuwa wewe ni Kenge ambaye upo kwenye msafara wa mamba anyway!
 
Back
Top Bottom