Habari za uhakika, 100%, ni kwamba baaba ya mheshimiwa JK, Kuamua kumtosa waziwazi rafiki yake ambaye bila yeye urais wa awamu iliyopita angeusikia radioni, mshikaji Lowasa sasa ameamua, MWAGA MBOGA, NAMWAGA UGALI. Hali halisi ni kwamba sasa hivi mambo ni magumu sana serikalini, na kuna tetesi kuwa huyu Mkwere kuna hati hati ya kutokumaliza utawala wake vizuri, mliopo tanzania mtagundua hali mbaya ya uchumi kupita wakati wowote mliowahi kushuhudia.
Habari za kuaminika ni kwamba hata lile zengwe la Richmond Mkwere ndiye aliyelisuka, na hii hata Samweli analijua, na hata juzi wakati wa uteuzi wa mawaziri lile zengwe la kwamba mtoto wa lowasa alivuta mpunga mkubwa huko ughaibuni lilisukwa na mkwere kwa lengo la kumtoa nje kabisa.
Hivi sasa habari za ukweli ni kwamba mkwere atakumbana na hali ngumu kuliko zote tangu alipozaliwa.na hii imeanza kushuhudiwa Tanzania, kwa mfano. wakulima mwaka huu ruzuku wataisikia redion
Habari za kuaminika ni kwamba hata lile zengwe la Richmond Mkwere ndiye aliyelisuka, na hii hata Samweli analijua, na hata juzi wakati wa uteuzi wa mawaziri lile zengwe la kwamba mtoto wa lowasa alivuta mpunga mkubwa huko ughaibuni lilisukwa na mkwere kwa lengo la kumtoa nje kabisa.
Hivi sasa habari za ukweli ni kwamba mkwere atakumbana na hali ngumu kuliko zote tangu alipozaliwa.na hii imeanza kushuhudiwa Tanzania, kwa mfano. wakulima mwaka huu ruzuku wataisikia redion