Kikwete akiri PSFP ipo hoi!Mei Mosi Mbeya

Kikwete akiri PSFP ipo hoi!Mei Mosi Mbeya

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,511
Reaction score
11,913
Leo katika maadhimisho ya mei mosi amesema deni la PSFP tsh trilioni 6 lisiwatie hofu wafanyakazi kwani,wakati mfuko unaanzishwa serikilai ilitoa tsh 10bilioni,na sasa wameamua kila mwaka walipe 50 bilioni kwa PSFP.wafanyakazi wasiwe na hofu pesa zao watalipwa!Maoni yangu:-Haya mashirika kutumikia siasa kwa mtindo wa majibu ya wanasiasa kama JK,ndiyo yalifanya hata yale mashirika ya miaka ya nyuma kufa kwa utaratibu huu wa kuishi kwa matumaini bila kuzingatia hali halisi ya vitabu vya kihasibu
 
Rekebisho:

Siyo PSFP Bali Ni PSPF.

Kama malipo ya Mwaka ni bilioni 50 kuna tatizo hapo.

Kwa mahesabu ya haraka ulipaji wa deni hilo bila riba yeyote utachukua muda usiopungua miaka 120.
 
Back
Top Bottom