Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wala siyo siri. Serikali ya JK ikijilipia kupitia Dowans na hela zetu za kodi, watambue wazi kabisa kwamba tunaingia porini, au tunaanza vita. Tumechoka kudhulumiwa
Yaani tungekuwa na jeshi la wasomi, wenye uchungu na nchi, tanzania isingekuwa mikononi mwa mafisadi mpaka leo.Wala siyo siri. Serikali ya JK ikijilipia kupitia Dowans na hela zetu za kodi, watambue wazi kabisa kwamba tunaingia porini, au tunaanza vita. Tumechoka kudhulumiwa