Kikwete Akijilipa "Dowans" Na Hela Zetu, Tunaingia Porini

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Wala siyo siri. Serikali ya JK ikijilipia kupitia Dowans na hela zetu za kodi, watambue wazi kabisa kwamba tunaingia porini, au tunaanza vita. Tumechoka kudhulumiwa
 
Wala siyo siri. Serikali ya JK ikijilipia kupitia Dowans na hela zetu za kodi, watambue wazi kabisa kwamba tunaingia porini, au tunaanza vita. Tumechoka kudhulumiwa
Yaani tungekuwa na jeshi la wasomi, wenye uchungu na nchi, tanzania isingekuwa mikononi mwa mafisadi mpaka leo.
 
Jeshi Wananchi,UWT na mengineyo yamepoteza focus.....wanafikiria wapo pale maslahi ya walio madarakani....wanadanganywa vitu vidigo vya kijinga....bia bei cheee maduka yao yale baasi hawana ucngungu na nchi.....sijui hata wanafanya nini
 
Back
Top Bottom