Kikwete ahutubia Umoja wa Mataifa

Kila mtu huchagua mwenyewe anakotaka kufika, haijalishi ni njia mbaya au nzuri cha msingi ni kwamba umechagua..

Uelekeo tuliouchagua tutafika tu, maana pia tafsiri ya uendako inapatikana kutokana na matendo yako..
Matendo yetu ndio yanayoonyesha tuendako, AKILI YAKO INATAKIWA IWE FREE NA MATURED KULIJUA HILI..
Nashukuru kwa ufafanuzi maana mimi ndo nipo la pili sasa.
 
Hivi Tanzania tulichagua Rais ? Na anajua kuwa kuwa yeye ni Rais? May be anadhani yeye ni waziri tu wa kutembelea kakonko,chamwino,au unadhani yeye ni DIWANI
Tulimu-overdose 2015 kumpa jukumu la kutuunganisha sisi ndani ya nchi na pia nje ya nchi na marafiki zetu?

Nchi nzima hatuwezi kwenda kwa trump kumpa salamu za taifa au kwa katibu mkuu UN,au kwa kiongozi yeyote wa nchi,akiona watu milioni 50 wamekuja kutoka Tanzania kumsalimu,atashangaa,ukawekwa utaratibu tuchague mtu mmoja afanye hayo,na yeye kakataa
Kwani kazi ya mabalozi ni nini?na Mahiga je?
 
Huyo siyo failure kama wewe unavyotaka kuaminisha watu. Kutembea sana nje kutafuta sijui wawekezaji ama misaada ni dalili za kiongozi butu asiye na uwezo wa kudelegate. Hizo balozi zitakuwa zinafanya kazi gani, ama wawekezaji sana kuja tu baada ya Rais kwenda na siyo wao kuelezewa (na mtu yoyote) fursa zilizopo?
Nyie mnaona viongozi wote huwa wanasafiri safiri tu au ni kuwashwawashwa?
Acha ushamba kama wa rais wako wa kienyeji. Mikutano ya wakuu wa nchi rais anatakiwa kuhudhuria, huyu ni kilaza , muoga na hajui kujieleza. Anyway, ni bora abaki humuhumu maana aibu inayoweza kutokea akihutubia mikutano ya kimataifa inaweza fanya mtu uukane uraia wako nchi za watu.
 
Reli unajengewa na MTURUKI, FLYOVER Tazara unajengewa n Mjapani, FLYOVER ubungo unajengewa na Mchina...
Nchini mwako kuna vibao viiingi vinaonyesha "KWA MSAADA WA WATU WAMAREKANI" Acha jeuri na kupiga makofi kwa kila jambo, jifunze kushauri Taifa lako lisonge mbele...

Wapeni Watanzania Elimu bora, Waondoleeni watanzania umasikini, blah blah blah wakati ndugu zako wanamaisha duni na elimu isiyo na tija haisaidii mkuu..
Kwenda UN kunaleta sahani ya ugali mezani?
 
Hakuna kutoka mzee magu usitoke ng'o
Tajiri haombi msaada kama mali zipo kwetu kwanini umfuate mhitaji kwake wakati wao ndio wanashida aende kufanyaje wakati wawakilishi wapo kibao, atoke ili ufaidike nini au ukose nini na akienda utapata nn wewe au kukosa nn mwache atengeneze nchi
 
Ni bora amsaidie huyu phd hewa yeye amekaa tu ajishugulishi yupo yupo tu na 2020 shehe Mponda kasema tutapigania haki na kuikemea hii serikali awamu ya 5 hata kwa Upanga


Swissme
Hebu kaa mstari wa mbele km hatujaondoka na vi mawe vyako viwili!
 
Hadi 2020 nawaambia hataenda popote kama style ndio hiyo.....anaogopa kuhojiwa hana majibu hajui kujieleza....anaogopa sabotage....kifupi hajiamini.....!!!
It's called inferiority complex, usually expressed by aggressive demeanor and utterances, demeaning and hurting mostly the most disadvantaged. Very sad!
 
Hivi Tanzania tulichagua Rais ? Na anajua kuwa kuwa yeye ni Rais? May be anadhani yeye ni waziri tu wa kutembelea kakonko,chamwino,au unadhani yeye ni DIWANI
Tulimu-overdose 2015 kumpa jukumu la kutuunganisha sisi ndani ya nchi na pia nje ya nchi na marafiki zetu?

Nchi nzima hatuwezi kwenda kwa trump kumpa salamu za taifa au kwa katibu mkuu UN,au kwa kiongozi yeyote wa nchi,akiona watu milioni 50 wamekuja kutoka Tanzania kumsalimu,atashangaa,ukawekwa utaratibu tuchague mtu mmoja afanye hayo,na yeye kakataa
Tumchague mwingine maana hakuna namna nyingine
 
Wiki ya Afrika ikiendelea kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa United Nations jijini New York, Marekani, Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete amehutubia moja ya vikao vya ngazi ya juu kuhusu uchangishaji fedha kwa maendeleo barani humo. Bwana Kikwete ni mjumbe pia wa Kamisheni ya kimataifa ya elimu.
Ndiyo tatizo la kuwa na kiongozi anayeshindwa kujieleza mbele ya Viongozi wenzake zaidi ya kuleta maneno ya kifyosi na ubabe kwa raia wake huku akijitapa na Phd fake
 
Back
Top Bottom