Kikwete ahofia kung'olewa CCM kwa madai ya kushindwa kukiendesha chama

Kuna watu wachache sana ndani ya CCM leo ambao wanaweza kusimama na kunyooshea wenzao vidole kwa dhamira ya dhati ya kutaka kukinusuru chama hicho. Hayo makiundi yanayohasimiana ni wale wale tu ambao wanapigania vita matumbo yao

Ni kweli kabisa,na ni kama hakuna. Hawa wanaohangaika kubadili uongozi wa chama wengi wao siyo kwamba wanaipenda sana CCM,wanapigania matumbo yao. CCM ni kampuni inayowalisha na kuwalinda. Wanajua CCM ikifa hata yale yaliyofichika chini ya kapeti yatajulikana. Na wanajua baada ya hapo CCM haitakaa isimame tena. Wakati wa CCM kufa umeisha fika. Binafsi namsifu JK kwa uungwana wake,maana watawala kama Mkapa muda huu damu nyingi za wananchi wasio na hatia zingekua zimeisha mwagika barabarani. Someni KANU ilivyosambaratika,mtajua hata CCM iko ktk njia hiyo ya kusambaratika.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
This is just a wishful thinking.i cant see that handful bunch of brave members of ccm to stand and influence the whole lot to imlement that wish..
 
Hivi Mkapa ma JK nani mwenye unafuu? Mimi naona ni wale wale tu.
Tukija kwenye uchumi, tunaona kama Mkapa alijitahidi miaka 7 ya mwanzoni; lakini jitihada zake zilionekana kwa kuwa alikuwa na mali za kuuza. Kulikuwapo mashirika mengi sana yaliyouzwa, mengine wakikiuka hata ushauri wa baba wa Taifa (NBC), nk. Hivyo fedha za nje ziliingia ili kununua mali zetu hizo. Baada ya mali kuisha lazima flow ya forex ipungue. Miaka yake 3 ya mwisho ilikuwa more than worse! Ndipo alijiingiza katika mikataba ya tanpower ya kiwira, bankM, EPA nk. Mtakumbuka ndipo alianza kiburi cha kutuambia eti tuna wivu wa kike, eti tu wavivu wa kufikiri nk. Mpaka leo hajabadilika, ni yule yule alianzisha ufilisi wa mali za watanzania na zingine kujirundikia yeye mwenyewe tena akiwa bado yupo ikulu. Sioni kama anafaa tena! (labda kwa uenyekiti wa chama chao 'ma.....' anaweza)
Ya JK sote tunayajua, na kadri anavyoelekea kumaliza muda wake tutaona makubwa zaidi! Mbali ya masuala ya uchumi, tunaelekea kwenye mifarakano ya kijamii pia!
 
Ni kweli kabisa,na ni kama hakuna. Hawa wanaohangaika kubadili uongozi wa chama wengi wao siyo kwamba wanaipenda sana CCM,wanapigania matumbo yao. CCM ni kampuni inayowalisha na kuwalinda. Wanajua CCM ikifa hata yale yaliyofichika chini ya kapeti yatajulikana. Na wanajua baada ya hapo CCM haitakaa isimame tena. Wakati wa CCM kufa umeisha fika. Binafsi namsifu JK kwa uungwana wake,maana watawala kama Mkapa muda huu damu nyingi za wananchi wasio na hatia zingekua zimeisha mwagika barabarani. Someni KANU ilivyosambaratika,mtajua hata CCM iko ktk njia hiyo ya kusambaratika.
Arusha 2 Igunga 1 na idadi itazidi kuongezeka. Je hii mifarakano ya kijamii (dini) itatuacha salama?
 
Inawezekana maana hayo unayosema ni mazoea tu sio sheria wala kanuni. Mzee Mwinyi amekuwa mwenyekiti wa chama 1990 ilhali aliukwaa urais mwaka 1985, kulikuwa na kiongozi wa chama na mwingine wa sirikli. South Africa Zuma alichaguliwa kuwa Mwenyekiti(Rais) wa ANC kwa kumshinda kura Thabo Mbeki aliyekuwa rais wa Seriksli ya South Africa. Kwa hapa Tanzania inawezekana maana kunmgogoro mkubwa ndani ya chama, ninazo taarifa kuwa kwenye CC ya CCM walitaka kupitisha azimio la kuwaengua Lowasa na Chenge lakini wakabishana na kura zilipopigwa maamuzi yakawa wabakie so wanao wafuasi wengi kwenye vikao vya maamuzi vya chama 19 votes for Lowasa 13 votes against EL
 
Mkapa hafai ndiye aliyeuza kwa fujo mali zetu!kurudi madarakani kwa rais hakuna shida mbona putin wa russia anarudi madarakani ili mradi uwe mtendaji mzuri.fikiria rwanda wangempa kagame miaka 10 huenda wasingekua na maendeleo kama waliyoyafikia sasa

Gamba ni gamba tu hata ukilivua likiota linakuwa lile lile!!!, Huwezi ukavua gamba la nyoka likaota la chura!!
 
aisee ivi humu JF kuna watu au viatu.! Mnathubutu vp kumtaja.. *KAPA ... Fisadi NYANGUMI! Kweli CCM mmeishiwa.

Unafikiri CCM wana akili timamu hawaoni hatari hata kumrudisha Rost tam.
 
Back
Top Bottom