Boramaisha
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 820
- 18
Machache:
Kwa kuwa kwenye maelezo, Ikulu iliwasiliana na Arusha kwa simu, nadhani ni rahisi sana mpokea simu wa Arusha kuchanganya maneno Loliondo/Longido.
Baada ya Mheshimiwa Rais kung'amua huo mchanganyiko, angeendelea kutoa hilo gari bila kutuambia lolote, bali angetoa fungu from anywhere kununua gari kwa ajili ya halimashauri nyingine.
Rais sio yeye mwenye kuajiri watumishi wa Ikulu, uozo wa wafanyakazi wa Ikulu ni inheritage ya uozo wa jamii ya Kitanzania.
Mheshimiwa Rais tunaomba uache hizo shughuli they have no value for money/time of the president of united republic of Tanzania.
Wako katika kulijenga Taifa.
Kasheshe
Kasheshe,
You might be right. Lakini Rais pia anao uwezo wa kuwachuja waajiriwa wa Ikulu na kuweka wale anao wataka especially kwenye private office yake ambayo ina watu wanaompangia ratiba ya shughuli zake na kusimamia shughuli za familia yake. Naamini Mnikulu aliyepo ni chaguo la Rais na pia Private Secretary aliyezuliwa janga na Mtikila naye ni chaguo la Rais mwenyewe.ingawa nadhani huyo siye anayeshughulikia ratiba za kazi za kila siku za Rais. Culprit katika sakata hili anastahili kuwajibishwa. Ni aibu.
Naam, hizo shughuli ndogo ndogo za kugawa ama kukabidhi magari haziko kwenye kiwango cha kufanywa na Rais unless kuna sababu maalum....