Wadanganyika tunauwezo mkubwa sana wa kusahau haraka.... Tumeshasahau kwamba muungwana alishawahi kupewa cheque ambayo tarakimu zake zinatofautiana sana na fedha halisi zilizotakiwa kuandikwa kwenye cheque!!
ongezea kwenye orodha ya fedheha za rais na siyo kusema watu wanasahau.