Kikwete agoma kutoa misaada ya Ambulances; Ikulu yaboronga!

The president is disorganized so is his office

He is disorganize since day one and this is the main cause of his failures in that office.
 
Tatizo langu liko hasa kwa hawa watoa misaada ndugu zangu wahindi hatukatai misaada yao lakini kuna ulazima gani hadi wawe wanapeleka ikulu, ni wiki iliyopita tu tumeshuhudia mwingine akipeleka magari mawili ikulu, lengo lao hasa ni nini kujionyesha kwa rais na kupiga picha au kusaidia kwani hakuna sehemu nyingine za kukabidhi.

Kama ni kusaidia unaweza ukapeleka tu ujumbe ikulu kuwa mimi fulani natoa msaada wa magari mawili naomba mwakilishi wa ikulu kuja siku yeyote kuyachukua CMC A Ltd tosha, kama lengo ni rais akujue atakuwa amejua ni nani katoa.

Sidhani kama kuna sheria inasema ukitoa msaada ikulu lazima uibebe zawadi yako uipeleke mwenyewe ikulu vinginevyo rais wetu atakuwa busy kupokea vimisaada vingine havina hata mshiko, tusijeona ajabu siku moja kusikia rais kafanya hafla ya kupokea msaada wa baiskeli mbili pale ikulu.
 
hii inaonyesha na kuthibitisha jinsi Ikulu yetu pamoja na raisi wasivyo serious na nchi hii na wakiambiwa wanachukia na kutishia watu. Why the hell is this president want to do each and everything all by himself?
 
The president overreacted. There was no reason for the 'commotion'. Coming to think about it, what took place at the State House is a clear indication that the President is frustrated. Why is he frustrated at this point of time is a question that needs to be discussed:

Elections are around the corner. He made a hundred if not a thousand promises to ameliorate the lives of wananchi and he hasn't been able to deliver. He knows that he will have to face anxious and aggitated voters who voted for him in confidence believing in him. What is he going to tell them this time? And with the ufisadi pollution he indeed has reason to be frustrated.

Watch out State House officials and wake up from your laxity or else you might loose your jobs. A frustrated President is not predictable!!
 
Afadhali hapa amekuwa mkali bwana na kuona kuwa kuna ulazima wa kufanya mambo haya bwana na pia ni vizuri sana
 
Kwangu hii ishu inamaanisha vitu viwili;

1. kwanza ni weakness ya 'mjomba'. Mjomba ana tatizo la kupenda sana publicity kwa vitu vidogo sana hasa hiki kipindi cha kuelekea uchaguzi ndo kina-ignite hiyo hali kabisa. Alitaka aonekane yeye ni mzuri na mtu ambaye anapenda kukeep ahadi kwa kutoa hivyo vijigari viwili. Mbona magari mengine ya idara ya afya huwa yanatolewa na waziri mhusika au basi kwanini asitoe tu mtu wa ikulu kama wanavyofanya katika sikukuu kubwa za kidini?

2. Pili naona kitendo hiki kinaonyesha ni jinsi gani ukiritimba ulivyo katika serikali. Ngorongoro ni kubwa kuliko longido na kuna influence kubwa na ndo maana wakataka kutumia nafasi hiyo kupoka mali za watu wengine wadahifu. Na hii inatakoe kwa sekta, mikoa, na wilaya nyingi zenye influence kuchukua vitu vya watu au wilaya zisizo na nguvu
 
The president overreacted. There was no reason for the 'commotion'. Coming to think about it, what took place at the State House is a clear indication that the President is frustrated. Why is he frustrated at this point of time is a question that needs to be discussed:

Elections are around the corner. He made a hundred if not a thousand promises to ameliorate the lives of wananchi and he hasn't been able to deliver. He knows that he will have to face anxious and aggitated voters who voted for him in confidence believing in him. What is he going to tell them this time? And with the ufisadi pollution he indeed has reason to be frustrated.

Watch out State House officials and wake up from your laxity or else you might loose your jobs. A frustrated President is not predictable!!

The president did not overreact, actually he was sooo soft on the matter... remember his advisors are supposed to prepare everything!!! kitendo cha hao protocol people na washauri kutogundua tatizo hadi likafika kwa rais na bado wasitimuliwe palepale kwangu mimi ni ku-accept uzembe

The president was too polite yesterday... angechukua ushauri wa mpwa wake haya yasingetokea

"fukuza woote, tuanze upya!!" Mrisho Mpoto
 
kwani kulikuwa na ulazima gani wa yeye kwenda kutoa hiyo misaada ya magari mawili? Inakuwaje Rais anatoka Ofisini kwake kwenye kwenye hafla ambapo wanaotakiwa kuwepo walikuwa hawapo!? something is wrong..

Yaani, hadi Rais anatoka ofisini na kwenda pale yuko tayari kutoa misaada hakuna aliyegundua tatizo. Ndiyo maana tukasema mambo ya mpira awaachie kina Bendera, ya kutoa misaada awaachie kina Mnakulu Mkuu ?? au Katibu Mkuu.. afanye mambo ya msingi.. siku nyingine atatembea nje usiku wa manane huku walinzi wakimsindikiza tu kumbe mwenzao anaota!

Bw.MKJJ,
Hayo ni makubwa mkichunguza sana na kwa undani mtakuta madudu yanayofanywa na watendaji ndani ya ikulu, na ndio mara nyingi me huuliza kutaka kujua IKULU kuna nini na nini maana ya IKULU? eg last year kulikuwa na kauli nyingi zi kinzana Ikulu na mawirani swala la umeme waziri anatuambia tutakuwa na tatizo la umeme na halijurikani lini litakwisha mara IKULU nao hao IPTL iwasha umeme haraka sana hilo ndilo agizo lilitoka mara within six days ati meli ilisha tia nanga dar kuleta mafuta, ukichunguza tena utendaji wa ikulu esp kwenye ziara za rais huko ndiko huwa kuna vitimbi na vikumbo na mashushu mara msafala wa rais kukoswakoswa na mawe(mbeya), Mara kagoma kugawa pikipiki watendaji kat wa CCM (Arusha) Rais anapangiwa ziara za kwenda kufungu vitu vidogo vidogo sana ati Hoteli Snow Crast na baada ya kufunguliwa ika vunjwa kuta ati zilikuwa kwenye eneo la barabara na zo ni kashifa hizo kumbukeni.

Sasa me nashindwa kuelewa IKULU utendaji wake wa kazi ni upi? na ni akina nani ni watendaji wakuuu muhumu ndani ya IKULU ambao kweli pakitoke madudu wawajibishweeee?? non zero
 
Sasa me nashindwa kuelewa IKULU utendaji wake wa kazi ni upi? na ni akina nani ni watendaji wakuuu muhumu ndani ya IKULU ambao kweli pakitoke madudu wawajibishweeee?? non zero

The Private Secretary or officer incharge of appointments/President's schedule should have liaised with the Comptroller (Mnikulu) to make sure that everthing was in order before getting the President leave his office for the function. It doesn't add up being told that the President came to the function before those who were supposed to be handed over the vehicles! Kama wahusika hawakuweza kufika on time then the whole function should have been called off and the President informed accordingly. Kwani kungeharibika nini kama gari zile zingeligawiwa baadaye without fanfare and showing off badala ya ku-cause unnecessary embarrassment/scandal to the State House?
 
Ooops hii mambo ya "open in a new tab" imenifanya nichanganye threads... sorry
 
kwani kulikuwa na ulazima gani wa yeye kwenda kutoa hiyo misaada ya magari mawili? Inakuwaje Rais anatoka Ofisini kwake kwenye kwenye hafla ambapo wanaotakiwa kuwepo walikuwa hawapo!? something is wrong..

Yaani, hadi Rais anatoka ofisini na kwenda pale yuko tayari kutoa misaada hakuna aliyegundua tatizo. Ndiyo maana tukasema mambo ya mpira awaachie kina Bendera, ya kutoa misaada awaachie kina Mnakulu Mkuu ?? au Katibu Mkuu.. afanye mambo ya msingi.. siku nyingine atatembea nje usiku wa manane huku walinzi wakimsindikiza tu kumbe mwenzao anaota!

kwenye TV na magazeti ataonekana saa ngapi?unacheza na mtoto wa kikwere nini...
 
Hivi hicho kitengo cha habari Ikulu kina tatizo gani? Ni professionalism ndogo au ni mzaha? Kwa nini huyo mkurugenzi wake asijiuzulu tu? Mara nyingi migongano kibao ya habari na bado Mh. Rais anamvumilia tu. Hayo ndiyo matatizo ya kubeba vibaraka wa maswahiba huku uwezo hawana. Itabidi habari maelezo wachukue jukumu la kusemea habari za nchi maana hicho kitengo cha habari Ikulu bomu la nuclear kabisa.
 
tatizo ni huu ''ushikaji ushikaji'' katika kupeana madaraka na nyadhifa mbali mbali

LAKINI PIA:inawezekana tatizo ni kwamba muungwana AMECENTRALIZE MAMBO MENGI SANA/MAJUKUMU MENGI SANA
 
Hebu ifike mahali sasa Rais aone kuwa si kila kitu hata kama ni kidogo basi ni lazima akitoe, kwani kitu kama hiki si hata Luhanjo anaweza kutoa au Pinda tu. Yaani bwana siasa na utendaji ni vitu viwili tofauti. Heb wanasiasa tujaribu kujitenga na vitu hivi.

Rais nijuavyo mimi ni mtu wa mambo makubwa jamani, siyo vitu vidogo jamii ya sisimizi. Nimechoka. Cheap popularity zitatumaliza.
 
Tukio hili linaonyesha wazi jinsi gani tunavyokosa mawasiliano mazuri katika serikali yetu, kuanzia kwa rais mpaka wilayani.

Hivi rais alishindwa kutaarifiwa exactly nanai atapokea msaada kabla ya tukio? Watu wa Ikulu walishindwa kupata hizi info? I likuwa lazima rais atoe hii gari personally?

Vipi kama huyu mtu wa Halmahauri ya Longido ana udhuru na badala yake mkuu wa mkoa ka delegate mtu wa wilaya ya Loliondo kuchukua gari halafu likifika huko mkoani litapelekwa Longido? Ingawa hapa kutakuwa na breakdown of communication on the part of mkoa/ wilaya, rais naye anaaibika kwa kutokuwa on top of his game.

Rais angeweza kuwapa hilo gari, halafu akawafuatilia na watu wake wa usalama.Kama wangeenda kulitumia gari sehemu isiyotakiwa angekuwa na case kubwa zaidi ya kuwashitaki, angeweza kumuondoa hata mkuu wa mkoa kwa kukosa uaminifu. Rais amejionyesha hawezi ku fikiri strategically, hawezi kufanya "rope a dope".

Aondoe hao desolate courtiers na out of work mercenaries alioweka Ikulu, better yet aondoke yeye mwenyewe maana naye ni mmoja wao.
 
Machache:
Kwa kuwa kwenye maelezo, Ikulu iliwasiliana na Arusha kwa simu, nadhani ni rahisi sana mpokea simu wa Arusha kuchanganya maneno Loliondo/Longido.

Baada ya Mheshimiwa Rais kung'amua huo mchanganyiko, angeendelea kutoa hilo gari bila kutuambia lolote, bali angetoa fungu from anywhere kununua gari kwa ajili ya halimashauri nyingine.

Rais sio yeye mwenye kuajiri watumishi wa Ikulu, uozo wa wafanyakazi wa Ikulu ni inheritage ya uozo wa jamii ya Kitanzania.

Mheshimiwa Rais tunaomba uache hizo shughuli they have no value for money/time of the president of united republic of Tanzania.

Wako katika kulijenga Taifa.
Kasheshe
 
Ndiyo tatizo la kuweka watoto wadongo wote kwenye protocali ya Ikulu bila kuwachanganya na wazoefu kidogo. Bado madudu yakuja mengi tu. Labda ajifunze na kuanza kufanya kila kitu yeye. Ataanguka tena, na kampeni zimekaribia, anaweza akazimia kabisa.
 
Back
Top Bottom