Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
.....
Inasemakana ya kuwa JK ameagizia dawa kutoka Loliondo kwa Babu kupitia mtumishi wake wa karibu wa Ikulu ampelekee dawa anywe ili ajitibu ugonjwa alionao. Ila Babu amekataa katakata kumpatia dawa mtumishi huyu wa Ikulu kwa masharti kuwa dawa hiyo lazima inywewe hapohapo na mgonjwa mwenyewe...
Kazi anayo JK!....sijui anataka kujitibu nini mkwere na yeye alishapima ukimwi mnazi mmoja na kukutwa negative!...........
acha kuongea pumba,wakati anaagiza we ulikuwepo?au unajiropokea tu.
dah,mishpa ya shngo imekutoka kwa ajil ya kumtetea anko wako