Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,074
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Posta ( DEOS KHAMIS MNDEME) na katibu wa shirika (BW SAID) wamesimamishwa kazi kwa ubadhilifu wa mali ya shirika.
Waliuza nyumba za shirika la Posta zilizopo Masaki kwa sh milioni 900, badala ya Bilioni 3, imegundulika kuwa bilioni 2 hazijulikani zilipo na hizo milioni 900 zimelipa madeni ya waliokuwa wanalidai shirika hilo.
Waliuza nyumba za shirika la Posta zilizopo Masaki kwa sh milioni 900, badala ya Bilioni 3, imegundulika kuwa bilioni 2 hazijulikani zilipo na hizo milioni 900 zimelipa madeni ya waliokuwa wanalidai shirika hilo.