Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
<br />maigizo
samahani kwa kukukera...mkono mtupu haulambwi changia JFnimekukubali_unaanzisha thread na wewe mwnywe unakuwa wa kwanza kuchangia , Haya !
anaingilia kazi za mabwana shambaEka tatu za mihogo zinakaguliwa na RAIS! mwe kweli rais kafuliaaaaaaaaa
anaingilia kazi za mabwana shamba
<br />anaingilia kazi za mabwana shamba
<br />Ni raisi wa wote, hana upendeleo, habagui wakulima! Wote kwake wana haki sawa
hahahhahhahahh!!! katika siku ambazo nimecheka ni leo..Mwambie aje kukagua shamba langu la nguruwe, .
wewe ndio nyambari nyangwine?mbona sasa anaongea na watoto pamoja na akina mama njemba ziko wapi?
jamaa lazima achoke na watanzania mwaka huu.. akienda nje wanalalamika ..akienda kukagua mihogo wanalalamika .. sasa sijui atafanya nini na mwaka huu tunaeKaona mnalalamika sana safari zake za nje kwahio kaamua kufanya safari za ndani ya nchi kukagua mashamba.