GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Masikini_Jeuri

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2010
Posts
6,827
Reaction score
1,310
Du !

Haya kumekucha huko Jangwani mwenye news zaidi atujulishe hii ni kwa mujibu wa TBC ndo naangalia hapa, Rais Kikwete kadondoka live akihutubia.
5yhkip.jpg


VIDEO:


 
Ni kweli amedondoka madodyguard wa bongo ni wa hovyo wamemwacha hadi mzee mzima analamba mchanga badala ya kumwahi asidondoke jumla!
 
hakuna kinachojulikana lakini nadhani ni mtoto mdogo hajakomaa hata 2005 mambo yalikuwa hivihivi
 
Nadhani ndo ule utabiri wa Mchawi wao, Sheikh Yahaya.
 
Kikwete Kaanguka kwa kishindo jukwaani; Naona Ambulance inasogea karibu na Jukwaa!

Walio karibu watujuze; ratiba yote imesimama, Naam sasa amerudi jukwaani
 
Woga wa kumwagwa huo unamsumbua. Kazi anayo mwaka huu
 
inasemekana kikwete ameanguka huko jangwani LEO.....

wenye habari zaidi watujuze tafadhali...
 
inasemekana kikwete ameanguka huko jangwani LEO.....

wenye habari zaidi watujuze tafadhali...

inasemekana ni kweli tukio hili limetokea ... nasikia anajiandaa kurudi tena jukwaani! hapo jangwani hapo ... mmhh!!
 
Ameamua kufungulia anakunywa maji,,wanadai inatokana na mfungo wa ramadhani..karudi ataendelea na kampeni.. ila kakatisha swaumu
 
Jamani nimepata taarifa eti Kikwete kadodoka jukwaani wakati anahutubia kwenye viwanja vya Jangwani mwenye uhakika atupe.........
 
Ameamua kufungulia anakunywa maji,,wanadai inatokana na mfungo wa ramadhani..karudi ataendelea na kampeni.. ila kakatisha swaumu

do u buy this?? of all days why today?? kwani ramadhani imeanzaa leo!! ***** mix with urs!!!
 
Pole Jk, sijui unatatizo gani jamani, mbona kila mara jangwani kwenye uzinduzi waanguka.
 
Ni kweli ameanguka -- hii ni mara ya 3 sasa anadondoka kwenye majukwaa in 5 years. Tatizo kubwa ni kwamba wananchi hatuambiwi kinagaubaga anaumwa kitu gani. Leo tumeambiwa ni kwa sababu ya swaumu ya Ramadhani -- yaani anashindwa kumudu swaumu?

Mwaka 2005 hapo hapo Jangwani alidondoka na baadaye tukaambiwa ni kutokana na kufunga (haikuwa mwezi wa Ramadhani). Kuna uvumi kwamba ana kisukari cha kushuka. Kama ni hivyo kwani kisukari ni ugonjwa wa siri? Si waseme tu, wanaficha nini?
 
do u buy this?? of all days why today?? kwani ramadhani imeanzaa leo!! ***** mix with urs!!!
Anazingua tu... kipindi kile ilkuwa wakat wa kumaliza kampeni hapohapo jangwani...leo wakt wa kuanza kampeni hapo hapo jangwani....
 
Back
Top Bottom