Kikwete aambiwa abebe mizigo yake!

Kikwete aambiwa abebe mizigo yake!

Huku mtaani wameshaanza kusema eti angekuwapo Lowassa bado serikali isingekua legelege hivi!!!
 
tatizo liko kwa mwenyekit wa chama na ambaye anajiita Raisi huyu ndo kikwazo anapaswa kuondolewa

My Take:
Mwenye kiti wa Chama Chochote kile cha siasa nadhani hakustahili kuwa Rais kabisa bali rais anatakiwa kutoka katika chama hicho na mwenyekiti naye afanye kazi zake maana kama M/kiti ndio Rais sindio haya sasa yanayotokea lini watamwadabisha sasa, Hata vote ya of no Confidence with M/Kiti hakuna maana hapo atacheza mchezo wake na ndio huu unaendelea sasa anauchuna ilai CCM ijifie kivyake teh teh
 
vp sijui tena kama gamba kubwa jk liko hapa nchini kweli maana sijui nikuchanganyikiwa serikali yote ya magamba ni mapimbi na wale wote wa magamba waliopo humu jf ni mapimbi
 
J.Chiligati alisema" ukisikia unatajwatajwa kwenye ufisadi wewe ni gamba,jionde ndani ya ccm" kikwete ametajwa kwenye ufisadi wa rada,kagoda,epa n.k.HIVYO NA YEYE NI GAMBA! Chakushangaza bado yupo!
 
Nikweli jk abebe mizigo yake ni aibu kwa serikali bajeti zote zimepita kimbinde mbinde kweli, alafu mzee mwenye yupo kimya, mara yupo kuzika mara anafungua jengo, jamini tumechokaaa kweli na mambo yake. Maisha yamepanda sana si mjini wala vijijini me naona hatuna serikali kwasasa.
 
Source: Tanzania Daima
source hiyo inaandika habari za upande mmoja, siwezi comment

Afadhali umeliona hilo, maana huyo mhariri mkuu yupo mfukoni kwa Lowassa swahiba wa Mbowe,...
Kamwe hutowasikia wakimponda Lowasa, wao ni kuonesha kuvua gamba ni sera mbaya siku zote!

Si ajabu kishaenda kuvuta bahasha yake ya khaki baada ya kutoa hii habari.
 
hapana inatia uchungu poleni sana kwa matatizo yanayowapata
 
Mzee wa Mwanza kasema fact,kama JK atashindwa kuondoa mizigo basi watamuondoa yeye pamoja na mizigo yake

bahati mbaya haya wanayoyaongea yanaingilia huku kisha yanatokea kule maana Vasco alikula yamini ni lazima awe raisi na ataondoka kwa miaka10,si walikubali kumwacha akawa mgombea pekee kwenye chama chao?sasa kitu gani ndani ya miezi10 wamekumbuka ambacho wakati huo walikisahau,ama ndo Tshirts,kofia na pilau?waache awafie mikononi mwao kwasababu waliyataka wenyewe,kwani hawakumwona Dr.Slaa?mbona hata hawajaweza kusema kura zilikwenda wapi,nategemea mwisho wa yote lazima hili watalisema na tutalijua na pamoja tutawa-arrest.
 
Huwa nacheka sana wanaposema wanavua magamba. Hivi mnajua share ya Riz kwenye sekta ya mafuta? ana hisa big bond, lake nk na wanafanya hila makampuni yao yanaweza kuuza mafuta kwa bei rahisi.Wanajifanya kuifungia BP ambayo ni ya serikali ili waihujumu wao waweze kutawala sekta ya mafuta. ndio maana baada ya kuwafungia tu wakapandisha bei ili wao wabaki sokoni. kujivua gamba atamvua na mwanae?
 
J.Chiligati alisema" ukisikia unatajwatajwa kwenye ufisadi wewe ni gamba,jionde ndani ya ccm" kikwete ametajwa kwenye ufisadi wa rada,kagoda,epa n.k.HIVYO NA YEYE NI GAMBA! Chakushangaza bado yupo!
<br />
<br />
nimeikubali huu mlinganyo wa maneno..
 
Nani aliangalia taarifu ya Tbc saa mbili jana? rais alikuwa anazungumza kinyonge sana sijui kwanini. Halafu nilishangaa aliwauliza wazungu wamesimama pale, how did reach here? wakawa wanamshangaa hilo swali lilikuwa na maana gani. kwa kweli rais wetu anaacha maswali mengi
 
<font color="#FF0000"><span style="font-family: arial black">Source: Tanzania Daima</span></font><br />
source hiyo inaandika habari za upande mmoja, siwezi comment
<br />
<br />
Je kuna mtu amekuomba ucomment
 
JK ulimwengu wa sasa anawauliza wazungu how did u reach hear yaani nkachoka!
Na wale wazungu sijui walimfikiliaje maskini
Naona amechoka na msongo wa mawazo!naona na mvi zimeongezeka!
 
Back
Top Bottom