Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
Tumemchoka huyu wakala wa mafisadi... wala asije... abaki hukohuko ukwereni na mambo yake ya kikwerekwere...
Hili ni tusi kubwa kwa raisi wetu tafadhali punguza jazba mpe heshima yake kama binadamu
Kuna watu humu mumemkalia rais kwa rohombaya na chiku lakini mungu atamlinda kwa ulinzi wake mmekuwa hamsharifiki kama vile kidonda ndugu wache kumdhalilisha nyie au ndio choyo cha makundi
Alivyopata mualiko wa kwenda US on a state visit, inaelekea ilibidi wabadili hiyo mipango mingine maana nafikiri atakuwa huko kwa juma zima la wiki ijayo!
Una uhakika hiyo ni state visit?
Kuna nini Kikwete na Mbeya??
Kama hataki asiende kabisa nafikiri wana Mbeya wamechoka kusubiri
Hili ni tusi kubwa kwa raisi wetu tafadhali punguza jazba mpe heshima yake kama binadamu
Alivyopata mualiko wa kwenda US on a state visit, inaelekea ilibidi wabadili hiyo mipango mingine maana nafikiri atakuwa huko kwa juma zima la wiki ijayo!
Tumemchoka huyu wakala wa mafisadi... wala asije... abaki hukohuko ukwereni na mambo yake ya kikwerekwere...
Mkuu,
Kweli kuna haja ya kutumia lugha kama hiyo dhidi ya rais wa nchi? Pia lazima ujue kwamba statement kama hiyo sio tu kwamba unamtukana JK peke yake lakini unalitukana na kabila lake lote. Iweje makosa ya JK yaingie kwenye kabila zima?
Uhuru bila nidhamu ni fujo.
Nimpe heshima mlinda wezi????????? Wezi hupelekwa mahakamani au hubembelezwa?? Athari za ujinga anayofanya zinakwenda mbali!! Watoto wanaokuwa tunawafundisha nini? Kwamba ukitaka mafanikio ufanye kazi au uibe???
Kuna nini Kikwete na Mbeya??
Kama hataki asiende kabisa nafikiri wana Mbeya wamechoka kusubiri