Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,391
- 39,490
Ziara ya Rais Kikwete kutembelea Mkoa wa Mbeya iliyokuwa ianze tarehe 2 mwezi ujao imeahirishwa. Hii ni mara ya tatu kwa Rais Kikwete kuahirisha ziara yake mkoani Mbeya kwa sababu mbalimbali. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw. Mwakipesile amesema kuwa ziara hiyo imeahirishwa kwa sababu kuna mambo mbalimbali ya kitaifa yanaanza wakati huo ikiwemo mitihani ya darasa la saba na kuanza kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Amesema ziara hiyo itapangiwa wakati mwingine.
Amesema ziara hiyo itapangiwa wakati mwingine.