Kikuu Online Shopping

Kikuu Online Shopping

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,374
Reaction score
3,972
Wadau salaam,

Hivi kuna mtu ambaye amewahi fanya biashara ya kununua kitu na hii platform? Nilikua natafuta sound bar nikaingia huko,ni kweli mzigo unafika?unajua online hii ukilizwa umelizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau salaam,

Hivi kuna mtu ambaye amewahi fanya biashara ya kununua kitu na hii platform? Nilikua natafuta sound bar nikaingia huko,ni kweli mzigo unafika?unajua online hii ukilizwa umelizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

mzigo unafika vzur ty boss... lakn kwa sasa usiagize maana kutakuwa na great delay kutokana na Corona virus ilozuka huko China
 
Wadau salaam,

Hivi kuna mtu ambaye amewahi fanya biashara ya kununua kitu na hii platform? Nilikua natafuta sound bar nikaingia huko,ni kweli mzigo unafika?unajua online hii ukilizwa umelizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

nimekuwa nikiagiza mizigo na inafika ndani ya siku 14 mpaka 21 to the maximum, this round mzigo umekaa Warehouse kwa siku 25. Nimewauliza wakaniambia delay ipo kwa kiasi kikubwa na management yao inafanya utaratibu wa kusafirisha mizigo kidogo kidogo pale chance inapopatikana kwa kipindi hchi
 
Kimfano mi niliagiza viatu, adress nilitaka waniletee njiro arusha na mtaa nilitaja.

Baada ya siku14 akaja mswahili na pikipiki, akanipigia cm nikaenda kuchukua.
Ndo nikagundua wana wasambazaji wamaotumia pikipiki zenye box kubwa nyuma.

Na kama ulipo ni mbali wanakuelekeza ofisi ya kwenda kuchukua mzigo wako, inaweza kuwa hata ni stend ya mabasi na ktk basi flan.

Simpo tu!
wanafikisha kwa address ya posta au wanafikisha wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Redmi Y2
 
Kimfano mi niliagiza viatu, adress nilitaka waniletee njiro arusha na mtaa nilitaja.

Baada ya siku14 akaja mswahili na pikipiki, akanipigia cm nikaenda kuchukua.
Ndo nikagundua wana wasambazaji wamaotumia pikipiki zenye box kubwa nyuma.

Na kama ulipo ni mbali wanakuelekeza ofisi ya kwenda kuchukua mzigo wako, inaweza kuwa hata ni stend ya mabasi na ktk basi flan.
Mkuu Kikuu arusha hawana agent ila kuna jamaa ana ofisi yake pale jirani na idara ya maji ambaye wanamtumia kupokea mizigo ya wateja wao na ndiye anayesambaza, tatizo la huyo jamaa ni kuomba omba pesa kwa ujanja japo hasemi direct ila anasomeka.

Jambo lingine product za kikuu zile za electronics muwe makini ni shida aseee, hazidumu sana, nimeagiza memory cards nk.
 
Kikuu haina tabu kama nyingi nilizozisoma hapa jukwaani zinavyoelezewa kwa ukubwa wa kutisha,Good platform Wife huko ni kma sokoni kwake Bidhaa zinafika fresh tu,Sahv nasubr ka zawadi ka hii Vday ya Tar14 fresh tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_3606.JPG
welcome back
 
Asante

Jana nimetumiwa msg usiku kuwa mzigo wangu from AliExpress umefika , nimeambiwa office zipo maeneo ya ranger Safari near idara ya maji ,, imebd Ni search kama kweli Kuna office amenambia hizo hizo za kikuu

Imeandikwa sijui kikuu and AliExpress
Sure hawana ofisi hapa arusha baada ya hiyo meseji huyo jamaa atakupigia umuelekeze akuletee au wewe ukachukue pale alipo.

Ila hao AliExpress sijataka kujaribu kabisa aseee, hebu nijuze umemtumia dealer gani ili nimtafute nione bidhaa zake?.
 
Mzigo unafika vizuri kabisa, ila tu cheap is expensive.....😁
 
Kuna simu jamaa alinionesha bongo inauzwa 840,000 kikukuu 160000 nilishangaa sana,nikasema kama ni bei rahisi hivyo mbona watu wanatumia simu mbovumvovu wakati kuna simu kali alafu bei chee,nikasema isiwe kesi hiyo hela ni ndogo ntakupatia alafu uniagizie,sasa hivi ananiambia eti naweza nikawa na gundu hiyo simu isije,sasa nkajiulize sio wewe ulinipa uhakika?
 
Kuna simu jamaa alinionesha bongo inauzwa 840,000 kikukuu 160000 nilishangaa sana,nikasema kama ni bei rahisi hivyo mbona watu wanatumia simu mbovumvovu wakati kuna simu kali alafu bei chee,nikasema isiwe kesi hiyo hela ni ndogo ntakupatia alafu uniagizie,sasa hivi ananiambia eti naweza nikawa na gundu hiyo simu isije,sasa nkajiulize sio wewe ulinipa uhakika?
Kikuu is for real hawana shida nishaagiza stufs kibao humo mzigo hadi mlangoni kwako
 
Back
Top Bottom