bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,374
- 3,972
Wadau salaam,
Hivi kuna mtu ambaye amewahi fanya biashara ya kununua kitu na hii platform? Nilikua natafuta sound bar nikaingia huko,ni kweli mzigo unafika?unajua online hii ukilizwa umelizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna mtu ambaye amewahi fanya biashara ya kununua kitu na hii platform? Nilikua natafuta sound bar nikaingia huko,ni kweli mzigo unafika?unajua online hii ukilizwa umelizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app