Kikundi cha kilimo

Ukitumia furrow unakua na magonjwa zaidi na magugu zaidi gharama ya dawa na ya kupalilia itarudi kule kule kwa m2
 
Nimeipenda sana hii kitu nipo maeneo ya area five mda wa Kilimo haswaa tena bwana shamba wa kujitegemea
 
Bro naitaji kujifunza kupanda na kuhudumia zao la tikiti maji nipo dar vp utanisaidiaje
 

0712995868
 
Big step ahead
Naomba uniunge kwenye group lako tafadhali

+254743970306..
 
0719 551 375 niadd tafadhali siwezi acha hii fursa inipite kwakwel..
Nna mengi nahitaji kujifunza kwenye kilimo nje ya madarasa.
 
0744386490

 
Enimefuatilia mwanzo mwisho nimevutiwa sana nahitaji kujoin ,naomba kujua mmefikia wapi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…