Kikongwe auwawa usiku huu Biharamulo

Mapolomoko

JF-Expert Member
Feb 16, 2013
1,751
417
Leo nimelala shambani. mdahuu tunaamshwa, kwenda kwenyetukio la kuuwawa kwa bibi mmoja. kauwawa na watu wasio jurikana. nikitongoji cha Kibengo, kijiji cha Luziba, kata ya Luziba, Biharamulo Kagera.
 
Unaanzaje kumuuwa binaadamu mwenzio?
Apumzike kwa amani bibi.
 
Leo nimelala shambani. mdahuu tunaamshwa, kwenda kwenyetukio la kuuwawa kwa bibi mmoja. kauwawa na watu wasio jurikana. nikitongoji cha Kibengo, kijiji cha Luziba, kata ya Luziba, Biharamulo Kagera.

Embu funguka!
Usikute huwa bibi aliuwawa kwa tuhuma za uchawi!
 
mbona kimya tena mleta mada au na wewe wameshakurestisha,..
 
Back
Top Bottom