Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Leo nimelala shambani. mdahuu tunaamshwa, kwenda kwenyetukio la kuuwawa kwa bibi mmoja. kauwawa na watu wasio jurikana. nikitongoji cha Kibengo, kijiji cha Luziba, kata ya Luziba, Biharamulo Kagera.