KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 3,428
- 4,401
Na muda si mrefu watu watakalia ukoka!Kuna jambo linatafutwa
Na muda si mrefu watu watakalia ukoka!Kuna jambo linatafutwa
Wanachotaje?Kuna tetesi za akiba ya Taifa kutafunwa
Magenge yanahamisha pesa miamala kwa miamala kwa kujiandaa kuondoka
Tuliombee Taifa pesa zinachotwa mabilioni kwa mablioni
Wamekalia umbea tu hawana jipyaAcha upotoshaji,mimi nimeangalia akaunti za taasisi hakuna hivyo vitu,nyie mbona mnapenda upotoshaji sana.
Kifo ni kifo tuuu ndugu hakuna ujanja...Kuna tetesi za akiba ya Taifa kutafunwa
Magenge yanahamisha pesa miamala kwa miamala kwa kujiandaa kuondoka
Tuliombee Taifa pesa zinachotwa mabilioni kwa mablioni
Mleta mada joined June 26 ,Hukupata mgawo?
Ameingia leo ili kuleta tarifa ya anazoziona huko, hana kosa kabisa mkuuWe ujachukua au uja pewa?
Umeangalia kama nani kenge wewe?Mtu bila kupewa fedha pale Lumumba huishi !!Acha upotoshaji,mimi nimeangalia akaunti za taasisi hakuna hivyo vitu,nyie mbona mnapenda upotoshaji sana.
Acha bwana ni rahisi kiasi hicho? kumbuka kwenye interest ya Nchi hasimami mtu mmoja maana ingekuwa hivyo BALALI angenyoka na BOT yote.Kuna tetesi za akiba ya Taifa kutafunwa
Magenge yanahamisha pesa miamala kwa miamala kwa kujiandaa kuondoka
Tuliombee Taifa pesa zinachotwa mabilioni kwa mablioni
Ndio kula yaoWamekalia umbea tu hawana jipya
Uwezi kuona jambo kama ilo afu usiwe mnufaikaAmeingia leo ili kuleta tarifa ya anazoziona huko, hana kosa kabisa mkuu
Cheza kwa stepuu usimkanyage mwenziooonawakumbusha tu ID ni mpya hii pita kwa busara
ID mpya imekuja kushtaki huku baada ya kukosa mgao 😆😆😆nawakumbusha tu ID ni mpya hii pita kwa busara
Mabaka wakazingire BOT haraka na TBC 1!pia uwanja was ndege plus banadarini!!Asitoke mtu humu nchini!!Wakuu pazeni sauti tuokoe nchi
Id mpya. Kamilisheni mipango hrkAcha upotoshaji,mimi nimeangalia akaunti za taasisi hakuna hivyo vitu,nyie mbona mnapenda upotoshaji sana.