Kiko wapi 'Kigoda cha Mwalimu', kupigwa risasi Lissu hakuwahusu?

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Pamoja na mambo mengine Nia na Malengo ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ni kumuenzi na kuyaenzi yote mazuri yaliyoasisiwa na Baba wa Taifa, kukemea maovu, kutetea wanyonge wanaogandamizwa na viongozi, vyombo vya dola au serikali iliyopo madarakani, kuhakikisha utawala wa sheria unafuatwa.

Tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu limegusa Taasisi nyingi zikiwemo taasisi za nje, sijaona wala kusikia Kigoda kikikemea, yuko wapi Mzee Josefu Butiku, yuko wapi Mzee Waryoba yuko wapi prof. Shivji na wengine machachali kukemea uovu huu unaolinyemelea taifa, au kazi ya Kigoda ni kuandaa matamasha tuu.

Kukaa kimya ndio kumuenzi Nyerere?, mbona Baba wa Taifa hakuwa hivyo alikuwa mwepesi kukosoa na kukemea ovu lolote hata likitokea nje ya mipaka yetu. Kukaa kimya maana yake ni kukubali maovu yanayoendelea kutokea nchini.

Kigoda kijitokeze kukemea wasichague matukio ya kukemea vinginevyo wakae kimya milele waone kama tutawasumbua, waache unafiki kujifanya wanamuenzi Mwalimu, Baba wa Taifa hakuwa hivyo.
 
Pamoja na mambo mengine Nia na Malengo ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ni kumuenzi na kuyaenzi yote mazuri yaliyoasisiwa na Baba wa Taifa, kukemea maovu, kutetea wanyonge wanaogandamizwa na viongozi, vyombo vya dola au serikali iliyopo madarakani, kuhakikisha utawala wa sheria unafuatwa.

Tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu limegusa Taasisi nyingi zikiwemo taasisi za nje, sijaona wala kusikia Kigoda kikikemea, yuko wapi Mzee Josefu Butiku, yuko wapi Mzee Waryoba yuko wapi prof. Shivji na wengine machachali kukemea uovu huu unaolinyemelea taifa, au kazi ya Kigoda ni kuandaa matamasha tuu.

Kukaa kimya ndio kumuenzi Nyerere?, mbona Baba wa Taifa hakuwa hivyo alikuwa mwepesi kukosoa na kukemea ovu lolote hata likitokea nje ya mipaka yetu. Kukaa kimya maana yake ni kukubali maovu yanayoendelea kutokea nchini.

Kigoda kijitokeze kukemea wasichague matukio ya kukemea vinginevyo wakae kimya milele waone kama tutawasumbua, waache unafiki kujifanya wanamuenzi Mwalimu, Baba wa Taifa hakuwa hivyo.
Wamekusikia ''Kobe akikaa kimya ujue ana tunga sheria'' Hata Pray for Lissu'' Ime kuwa ngumu kumesa
 
Watu wengi hawajui unafiki wa Butiku. Rangi yake halisi itaonekana kwenye huu utawala
 
Siku kadhaa Mh Rais alikuwa na Mzee Butiku Ikulu kwa Mazungumzo.
 
Pamoja na mambo mengine Nia na Malengo ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ni kumuenzi na kuyaenzi yote mazuri yaliyoasisiwa na Baba wa Taifa, kukemea maovu, kutetea wanyonge wanaogandamizwa na viongozi, vyombo vya dola au serikali iliyopo madarakani, kuhakikisha utawala wa sheria unafuatwa.

Tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu limegusa Taasisi nyingi zikiwemo taasisi za nje, sijaona wala kusikia Kigoda kikikemea, yuko wapi Mzee Josefu Butiku, yuko wapi Mzee Waryoba yuko wapi prof. Shivji na wengine machachali kukemea uovu huu unaolinyemelea taifa, au kazi ya Kigoda ni kuandaa matamasha tuu.

Kukaa kimya ndio kumuenzi Nyerere?, mbona Baba wa Taifa hakuwa hivyo alikuwa mwepesi kukosoa na kukemea ovu lolote hata likitokea nje ya mipaka yetu. Kukaa kimya maana yake ni kukubali maovu yanayoendelea kutokea nchini.

Kigoda kijitokeze kukemea wasichague matukio ya kukemea vinginevyo wakae kimya milele waone kama tutawasumbua, waache unafiki kujifanya wanamuenzi Mwalimu, Baba wa Taifa hakuwa hivyo.

Raisi, IGP na Mkuu wa majeshi wameshatoa tamko la kulaani shambulio hili na kuahidi kuwatafuta waliohusika. Sasa Hawa ambao unataka watoe tamko jingine unataka waseme nini tena
 
Pamoja na mambo mengine Nia na Malengo ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ni kumuenzi na kuyaenzi yote mazuri yaliyoasisiwa na Baba wa Taifa, kukemea maovu, kutetea wanyonge wanaogandamizwa na viongozi, vyombo vya dola au serikali iliyopo madarakani, kuhakikisha utawala wa sheria unafuatwa.

Tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu limegusa Taasisi nyingi zikiwemo taasisi za nje, sijaona wala kusikia Kigoda kikikemea, yuko wapi Mzee Josefu Butiku, yuko wapi Mzee Waryoba yuko wapi prof. Shivji na wengine machachali kukemea uovu huu unaolinyemelea taifa, au kazi ya Kigoda ni kuandaa matamasha tuu.

Kukaa kimya ndio kumuenzi Nyerere?, mbona Baba wa Taifa hakuwa hivyo alikuwa mwepesi kukosoa na kukemea ovu lolote hata likitokea nje ya mipaka yetu. Kukaa kimya maana yake ni kukubali maovu yanayoendelea kutokea nchini.

Kigoda kijitokeze kukemea wasichague matukio ya kukemea vinginevyo wakae kimya milele waone kama tutawasumbua, waache unafiki kujifanya wanamuenzi Mwalimu, Baba wa Taifa hakuwa hivyo.
Wale wa haki za binadamu walipo kuwa wanakufa kibiti hatukuwa sikia kitoka na kauli... ya kulaani walikuwa Mbuzi? Ila huyo mmoja mnataka Taifa zima lihangaike mbona waliopata mathara ni wengi hatukuona hizo mbwembwe.?
Alikufa Mvungi hatukuwahi wasikia na hizo kampeni zenu...
aliuwawa Mwaikusa hatukuwaona kusoma albadiri na kusema hamna uhuru wa kuabudu wale hawakuwa binadamu?
 
Pamoja na mambo mengine Nia na Malengo ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere ni kumuenzi na kuyaenzi yote mazuri yaliyoasisiwa na Baba wa Taifa, kukemea maovu, kutetea wanyonge wanaogandamizwa na viongozi, vyombo vya dola au serikali iliyopo madarakani, kuhakikisha utawala wa sheria unafuatwa.

Tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu limegusa Taasisi nyingi zikiwemo taasisi za nje, sijaona wala kusikia Kigoda kikikemea, yuko wapi Mzee Josefu Butiku, yuko wapi Mzee Waryoba yuko wapi prof. Shivji na wengine machachali kukemea uovu huu unaolinyemelea taifa, au kazi ya Kigoda ni kuandaa matamasha tuu.

Kukaa kimya ndio kumuenzi Nyerere?, mbona Baba wa Taifa hakuwa hivyo alikuwa mwepesi kukosoa na kukemea ovu lolote hata likitokea nje ya mipaka yetu. Kukaa kimya maana yake ni kukubali maovu yanayoendelea kutokea nchini.

Kigoda kijitokeze kukemea wasichague matukio ya kukemea vinginevyo wakae kimya milele waone kama tutawasumbua, waache unafiki kujifanya wanamuenzi Mwalimu, Baba wa Taifa hakuwa hivyo.

Kwani aliyevurumishiwa RISASI anawahusu??Kwa maana je huyo ni mwanaCCM au anatokana na ukoo wa watawala??Kama hapana basi usijisumbue.

Si wakati wa JKN wala wa yeyote aliyeweza kukekemea Polisi wakiwajeruhi RAIA wasio na hatia.Je ni mara ya kwanza watu kufanyiwa alichofanyiwa Lissu??

Je wajua waliwekwa Mhabusu bila kuhukumiwa kwa miaka zaidi ya kumi kwa kisingizio cha uhujumu uchumi JKN hakuwepo??

SIamini CCM toka enzi za JKN hadi leo,wote hawako kwa ajili ya watanzania,yawezekana JKN alifanya akichofanya akidhani analisaidia Taifa lakini kwa aliogusa familia zisizo na hatia sijui kama wanatofauti ya maamuzi

In short CCM ni chama kiovu kabisa kabisa,kwao Mauaji na utesaji wa RAIA ndizo sera zao na ilani zao kuu
 
Back
Top Bottom