Polisi ya Tanzania inataka kuonekana kwenye media ikiwaadhibu Chadema wakifikiri wanawasaidia. Kibaya ni kwamba hakuna chochote na agenda yeyote inayosikika maana kila siku ni mashindano sio tena ya CCM na vyama bali vyombo vyote na Chadema.
Msajili naye amejiingiza kwenye kiki maana wanajua Mama ni mpenda kiki. Lakini hakuna anayejua agenda za CCM tena na Wasira karudi kulala kijijini baada ya kutambua hakuna anaye msikiliza!
Majanga na ujinga jinga wa Polisi una funika mpaka Rais mwenyewe. Huu ndiyo utaratibu mbaya siasa ikianza kuingiliwa
Msajili naye amejiingiza kwenye kiki maana wanajua Mama ni mpenda kiki. Lakini hakuna anayejua agenda za CCM tena na Wasira karudi kulala kijijini baada ya kutambua hakuna anaye msikiliza!
Majanga na ujinga jinga wa Polisi una funika mpaka Rais mwenyewe. Huu ndiyo utaratibu mbaya siasa ikianza kuingiliwa