My sentiments exactly.
Tunaangalia watu badala ya kuangalia mfumo.
Katika mfumo ambao hauna uwajibikaji, ambao mawaziri ni kama miungu
watu, ambao kulindana kivyama kunazidi yote, ambao wabunge hawana uhuru
juu ya executive, ambao hakuna watu wenye integrity na vision ya
kukubali lawama kwa ajili ya kile wanachoamini, hata tukibadili baraza
lote la mawaziri, watakaokuja wataanguka katika mitego ile ile tu.
We have systemic problems, the solution is not to change people, let's
change the system.
Kama pinda ndo mzigo, jk atakuwa nani?
Ni kweli baada ya mapumziko ya chakula cha mchana,wabunge wa CCM walianza kulaumiana sana na kumlaumu kwa chinichini Mh.Lembeli na Kangi Lugola kuwa wanamshupalia sana waziri mkuu.
Lawama zinaenda kwa Mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na Utalii ndugu LEMBELI kwamba ni kwa nini ameileta report hiyo bungeni badala ya kwenye Chama??kama angeileta ktk chama maanake aibu hii ingemalizwa bila kuipaka matope serikali ya CCM.
Wabunge wa CCM wameadhimia kumlinda Pinda kwa ghalama yoyote asijiudhulu,na badala yake ktk michango yao ya jioni watachangia zaidi kwa mawaziri wanne kujiudhuru na si Waziri Mkuu,mpaka mchana huu tayari kumetokea mpasuko mkubwa,wapo ndani ya CCM wanaoona kujidhuru kwa Waziri Mkuu itakuwa ni sifa mbovu kwa serikali na chama chao..nguvu nyingi ni kumlinda Pinda na kuwatoa kafara wengine.
Wabunge wa CCM mpaka sasa wanarudi mjengoni kupunguza makali ya Lugola na Report ya Lembeli...
Japo kiukweli Pinda anatakiwa aunge teraaaa,wanataka kumnusuru PM
- The Dataz ni kimefanyika kikao maalum cha Wabunge wa CCM wakati wa mapumziko ya bunge, Wabunge karibu wote wa CCM wamewaambia Mawaziri wanaotuhumiwa kuwa mizigo wajiuzulu mara moja kumnusuru Waziri Mkuu, sasa hivi wote hawapo bungeni so stay tuned!!!
FMES - Wazee wa Sauti Ya Umeme!!!
Kabisa ,hiyo replacement watakuja kuvaa viatu na suti zilezile ,wakiimba na kucheza muziki ule ule,we need to change the tunes!My sentiments exactly.
Tunaangalia watu badala ya kuangalia mfumo.
Katika mfumo ambao hauna uwajibikaji, ambao mawaziri ni kama miungu watu, ambao kulindana kivyama kunazidi yote, ambao wabunge hawana uhuru juu ya executive, ambao hakuna watu wenye integrity na vision ya kukubali lawama kwa ajili ya kile wanachoamini, hata tukibadili baraza lote la mawaziri, watakaokuja wataanguka katika mitego ile ile tu.
We have systemic problems, the solution is not to change people, let's change the system.
My sentiments exactly.
Tunaangalia watu badala ya kuangalia mfumo.
Katika mfumo ambao hauna uwajibikaji, ambao mawaziri ni kama miungu watu, ambao kulindana kivyama kunazidi yote, ambao wabunge hawana uhuru juu ya executive, ambao hakuna watu wenye integrity na vision ya kukubali lawama kwa ajili ya kile wanachoamini, hata tukibadili baraza lote la mawaziri, watakaokuja wataanguka katika mitego ile ile tu.
We have systemic problems, the solution is not to change people, let's change the system.
- The Dataz ni kimefanyika kikao maalum cha Wabunge wa CCM wakati wa mapumziko ya bunge, Wabunge karibu wote wa CCM wamewaambia Mawaziri wanaotuhumiwa kuwa mizigo wajiuzulu mara moja kumnusuru Waziri Mkuu, sasa hivi wote hawapo bungeni so stay tuned!!!
FMES - Wazee wa Sauti Ya Umeme!!!
Sidhani hao mawaziri wakijiuzuru kuna kitachobadilika.Tutabadili watu hadi tuchoke.Hawa mawaziri wanachinjiwa baharini tu wazee!
Kama pinda ndo mzigo, jk atakuwa nani?
- the dataz ni kimefanyika kikao maalum cha wabunge wa ccm wakati wa mapumziko ya bunge, wabunge karibu wote wa ccm wamewaambia mawaziri wanaotuhumiwa kuwa mizigo wajiuzulu mara moja kumnusuru waziri mkuu, sasa hivi wote hawapo bungeni so stay tuned!!!
Fmes - wazee wa sauti ya umeme!!!
Kama pinda ndo mzigo, jk atakuwa nani?
- Sasa hivi mawaziri wanahangaika kumpigia simu Rais Marekani lakini sim haipokewi, so tupo nao still!!
Es