Kikao Maalum Cha Siri Wabunge wa CCM Mchana Huu Bungeni!!

My sentiments exactly.

Tunaangalia watu badala ya kuangalia mfumo.

Katika mfumo ambao hauna uwajibikaji, ambao mawaziri ni kama miungu
watu, ambao kulindana kivyama kunazidi yote, ambao wabunge hawana uhuru
juu ya executive, ambao hakuna watu wenye integrity na vision ya
kukubali lawama kwa ajili ya kile wanachoamini, hata tukibadili baraza
lote la mawaziri, watakaokuja wataanguka katika mitego ile ile tu.

We have systemic problems, the solution is not to change people, let's
change the system.

pamoja na system pia hata hili lichama viongozi wake wamekuwa walevi wa madaraka wakiamini wao watakuwa watawala milele
 
Ni kweli baada ya mapumziko ya chakula cha mchana,wabunge wa CCM walianza kulaumiana sana na kumlaumu kwa chinichini Mh.Lembeli na Kangi Lugola kuwa ”wanamshupalia“ sana waziri mkuu.
Lawama zinaenda kwa Mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na Utalii ndugu LEMBELI kwamba ni kwa nini ameileta report hiyo bungeni badala ya kwenye Chama??kama angeileta ktk chama maanake aibu hii ingemalizwa bila kuipaka matope serikali ya CCM.
Wabunge wa CCM wameadhimia kumlinda Pinda kwa ghalama yoyote asijiudhulu,na badala yake ktk michango yao ya jioni watachangia zaidi kwa mawaziri wanne kujiudhuru na si Waziri Mkuu,mpaka mchana huu tayari kumetokea mpasuko mkubwa,wapo ndani ya CCM wanaoona kujidhuru kwa Waziri Mkuu itakuwa ni sifa mbovu kwa serikali na chama chao..nguvu nyingi ni kumlinda Pinda na kuwatoa kafara wengine.
Wabunge wa CCM mpaka sasa wanarudi mjengoni kupunguza makali ya Lugola na Report ya Lembeli...
Japo kiukweli Pinda anatakiwa aunge teraaaa,wanataka kumnusuru PM

asijiudhulu = kujiuzulu
 
Serikali ikianguka leo au kesho. Napendekeza makamanda wafanye mikutano kadhaa kwa ajili ya kuwaambia wananchi kuwa hata hilo baraza jipya litakaloundwa litafanya yale yale.
 
- The Dataz ni kimefanyika kikao maalum cha Wabunge wa CCM wakati wa mapumziko ya bunge, Wabunge karibu wote wa CCM wamewaambia Mawaziri wanaotuhumiwa kuwa mizigo wajiuzulu mara moja kumnusuru Waziri Mkuu, sasa hivi wote hawapo bungeni so stay tuned!!!

FMES - Wazee wa Sauti Ya Umeme!!!

Mkuu sijui umerudi kwa kasi ile ninayoijua au ni haya ya ka upepo tu!!!

Good to see you...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
My sentiments exactly.

Tunaangalia watu badala ya kuangalia mfumo.

Katika mfumo ambao hauna uwajibikaji, ambao mawaziri ni kama miungu watu, ambao kulindana kivyama kunazidi yote, ambao wabunge hawana uhuru juu ya executive, ambao hakuna watu wenye integrity na vision ya kukubali lawama kwa ajili ya kile wanachoamini, hata tukibadili baraza lote la mawaziri, watakaokuja wataanguka katika mitego ile ile tu.

We have systemic problems, the solution is not to change people, let's change the system.
Kabisa ,hiyo replacement watakuja kuvaa viatu na suti zilezile ,wakiimba na kucheza muziki ule ule,we need to change the tunes!
 
My sentiments exactly.

Tunaangalia watu badala ya kuangalia mfumo.

Katika mfumo ambao hauna uwajibikaji, ambao mawaziri ni kama miungu watu, ambao kulindana kivyama kunazidi yote, ambao wabunge hawana uhuru juu ya executive, ambao hakuna watu wenye integrity na vision ya kukubali lawama kwa ajili ya kile wanachoamini, hata tukibadili baraza lote la mawaziri, watakaokuja wataanguka katika mitego ile ile tu.

We have systemic problems, the solution is not to change people, let's change the system.

Tatizo la nchi yetu ni kitendo cha wafanyabiashara kujiingiza kwenye siasa na kujikuta wanaumiliki mfumo wa usalama wa taifa ie TISS, leo watu wa usalama wanafanya kazi za siasa na kuwalinda wafanyabiashara
 
Nakwambia hamna msafi ccm hivyo ni kujiongezea gharama bure. Maana hata hao watakaotolewa uwaziri watapewa shavu sehemu nyingine,ulishawahi kuona wapi jk kawatupa makada wa ccm. Embu kumbuka Batlida,Marmo na wengne wengi wako wapi. Dawa ni kuiondoa ccm na siyo mawaziri wa ccm.
 
Sidhani hao mawaziri wakijiuzuru kuna kitachobadilika.Tutabadili watu hadi tuchoke.Hawa mawaziri wanachinjiwa baharini tu wazee!

CCM hakuna mtu wa kuwa waziri makini, wote ni walewale watabadilisha mpaka kila mbunge ataonja uwaziri lakini matokeo ndo yatazidi kuwa ovyo, labda achukue akina Lissu wamsaidie
 
- the dataz ni kimefanyika kikao maalum cha wabunge wa ccm wakati wa mapumziko ya bunge, wabunge karibu wote wa ccm wamewaambia mawaziri wanaotuhumiwa kuwa mizigo wajiuzulu mara moja kumnusuru waziri mkuu, sasa hivi wote hawapo bungeni so stay tuned!!!

Fmes - wazee wa sauti ya umeme!!!

na kuhakishia uliyo yaandika hayato pata kutokea.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom