Elitwege!
Hivi zile tuhuma za aliyewahi kuww kiongozi wa ngazi ya juu ya uvccm kuwa aliolewa Mombasa ziliwahi kukanushwa hapa?
Na tuhuma nyingine zilizothibitishwa na msemaji mkuu wa serikali baada ya kuibuliwa na gazeti linalomilikiwa na mwanaccm na mwanaharakati huru ziliwahi kukanushwa na watuhumiwa?
Kama ndivyo na zimebaki Kama zilivyo huoni Kama chama chako Cha ccm ambacho watuhumiwa ni wanachama hai ndicho kinachoasisi na kulea ushoga?
Au nawe ni mmoja wao unataka kujificha kwenye kivuli Cha kikao ulichokiita Cha Siri na ambacho mazungumzo na ajenda za waliokutana hazijawahi kuwekwa hadharani? Usijifiche nyuma ya usnitch Toka hadharani ututhibitishie ulikozipata taarifa za kikao Cha Siri!
Siku nyingine uandike jinsi ccm inavyolea ushoga!
Hivi zile tuhuma za aliyewahi kuww kiongozi wa ngazi ya juu ya uvccm kuwa aliolewa Mombasa ziliwahi kukanushwa hapa?
Na tuhuma nyingine zilizothibitishwa na msemaji mkuu wa serikali baada ya kuibuliwa na gazeti linalomilikiwa na mwanaccm na mwanaharakati huru ziliwahi kukanushwa na watuhumiwa?
Kama ndivyo na zimebaki Kama zilivyo huoni Kama chama chako Cha ccm ambacho watuhumiwa ni wanachama hai ndicho kinachoasisi na kulea ushoga?
Au nawe ni mmoja wao unataka kujificha kwenye kivuli Cha kikao ulichokiita Cha Siri na ambacho mazungumzo na ajenda za waliokutana hazijawahi kuwekwa hadharani? Usijifiche nyuma ya usnitch Toka hadharani ututhibitishie ulikozipata taarifa za kikao Cha Siri!
Siku nyingine uandike jinsi ccm inavyolea ushoga!