Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
"Leo tumefanya Kikao cha Wakuu wa Vyama vya Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kujadili masuala mbalimbali ya kurejesha Nchi yetu kwenye mstari wa demokrasia.
Viongozi Wakuu wa Vyama wanachama wote wamehudhuria akiwemo Mzee P Mangula Makamu Mwenyekiti wa TAIFA CCM, James Mbatia Mwenyekiti wa TAIFA wa NCCR-M, Dorothy Semu Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Prof Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Taifa wa CUF, John Mnyika Katibu Mkuu wa CHADEMA Na Bwana Rai Katibu Mkuu wa AAFP Chama cha Wakulima Tanzania.
Mkutano umefanya maamuzi muhimu kwa Maendeleo ya Demokrasia na Kituo chenyewe pia. Hatua kubwa na muhimu katika kuliunganisha Taifa na kurudi kwenye Reli ya Demokrasia"
By Zitto Kabwe
Kuna mtu humu kaanzisha mada akimshirikisha Mzee Mangula (Ambaye anaheshimika sana nje na ndani ya chama) na nia zao ovu, haya mzee wako huyu hapa chini.
Viongozi Wakuu wa Vyama wanachama wote wamehudhuria akiwemo Mzee P Mangula Makamu Mwenyekiti wa TAIFA CCM, James Mbatia Mwenyekiti wa TAIFA wa NCCR-M, Dorothy Semu Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Prof Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Taifa wa CUF, John Mnyika Katibu Mkuu wa CHADEMA Na Bwana Rai Katibu Mkuu wa AAFP Chama cha Wakulima Tanzania.
Mkutano umefanya maamuzi muhimu kwa Maendeleo ya Demokrasia na Kituo chenyewe pia. Hatua kubwa na muhimu katika kuliunganisha Taifa na kurudi kwenye Reli ya Demokrasia"
By Zitto Kabwe
Kuna mtu humu kaanzisha mada akimshirikisha Mzee Mangula (Ambaye anaheshimika sana nje na ndani ya chama) na nia zao ovu, haya mzee wako huyu hapa chini.