Kikao Cha Siri Cha Membe na JPM

Kikao Cha Siri Cha Membe na JPM

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
9,144
Reaction score
19,690
Ni kweli?
IMG_20200807_230208.jpg
 
Wapinzani sijui akili zao wameweka wapi, matapishi ya 2015 bado wanayataka kuyaweka mdomoni
CHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!
 
CHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!
Nachowashangaa hao watu ni kama walishindwa kufanikiwa wakati wa lowasa sasa watawezaje kushinda wakati wa lissu
 
Back
Top Bottom