King Zenji
Senior Member
- Feb 18, 2008
- 178
- 18
,,,,,Ndugu wana JF,kile kikao cha KERO za muungano,kiliisha isha vipi???,Manake wakati tulikua tumekaa kutolea MISO yetu huko kwa akina CHACHA,mpaka CCM ikaporomoka,tungependa kujua na huku upande wa pili kile KIKAO MUHIMU kiliisha vipi,kwa yeyote mwenye taarifa pls atupatie,au kama kuna thread ya hii ishu,mwaweza nishika mkono pia,mimi ntafurahi,lakini kwa picha hii hapa,naona hali ilikuwa si mchezo,Manake kidole na macho baba SHAMHUNA.