Kikao cha 8, mkutano 19, Bunge la 10, maana yake nini? Soma ufafanuzi wake hapa

Mikael P Aweda,

Kuanzia kwa Mzee wa ruksa hadi kwa Mr dhaifu inaeleweka vyema.
Swali langu ni kwa JK wa kwanza,tukienda na huo mtiririko wa bunge moja miaka 5 napata utata mahala,tazama ;
Mwaka 60-65=5yr>bunge la 1;
Mwaka 65-70=5yrs>bunge la 2;
Mwaka 70-75=5yrs>bunge la 3;
Mwaka 75-80=5yrs>bunge la 4;
Mwaka 80-85=5yrs ni bunge la ngapi sasa maana mzee wa ruksa umesema kaanza 85 na bunge la 5,na hesabu hii ndio inatuletea bunge la sasa yaani 10.

Majibu tafadhari.

uwe unasoma vizuri na kuelewa kaandika ilianza kuesabiwa 1965 kwa maana hiyo bunge la kwanza ni 1965-1970.
 
Last edited by a moderator:
Japokuwa nilikuwa naelewa hilo ila umenitia shule zaidi. na hiyo ndio lengo la jf kuelimishana kila kukicha. SALUTE KWAKO MTOA MADA!!!!
 
Sasa Mkuu ukihesabu kuanzia 1960 si utakuwa unahesabu bunge la wakoloni? Tunatakiwa tuanze kuhesabu kuanzia 1965 ambalo ndo bunge la kwanza la JMT. Kwa hesabu yako hili litakuwa bunge la 11! Chunguza vizuri Mkuu halafu urudi tena!

nimegundua watanzania wengi kuelewa ni shida kaandika bunge la kwanza lilianza kuesabiwa 1965 maana yake liliisha 1970.
 
Aweda ebu fafanua vizuri kwenye mtiririko huu;:
Bunge la 1. 1960 - 1965
2. 1965 - 1970
3. 1970 - 1975
4. 1975 - 1980
5. 1980 - 1985
6. 1985 - 1990
7. 1990 - 1995
8. 1995 - 2000
9. 2000 - 2005
10. 2005 - 2010
11. 2010 - 2015
12. 2015 - 2020.

Kwa nini hili Bunge 2010 - 2015 ni la 10 na siyo la 11.
Ufafanuzi tafadhali.

kaandika bunge la kwanza liianza kuesabiwa 1965 maana yake liliisha 1970,ajaandika kuwa lilianza 1960 utakuwa umeelewa sasa.
 
For the first time, i salute you Michael P. Aweda, umejitolea kuijenga nchi yako kwa kutumia elimu yako kwa manufaa ya umma, bravo bro!. Ila shida moja bado uko huko kwa misukule!. Toka huko Michael ili uingie huku unakoweza kupata opportunity ya kutangaza kipaji chako kama afanyavyo fisadi mwenzenu mambo ambaye mnajifariji mkidhani kuwa CCM wataingia mkenge kumteua urais ili ninyi mshinde, thubutu!!!!
 
Aweda ebu fafanua vizuri kwenye mtiririko huu;:
Bunge la 1. 1960 - 1965
2. 1965 - 1970
3. 1970 - 1975
4. 1975 - 1980
5. 1980 - 1985
6. 1985 - 1990
7. 1990 - 1995
8. 1995 - 2000
9. 2000 - 2005
10. 2005 - 2010
11. 2010 - 2015
12. 2015 - 2020.

Kwa nini hili Bunge 2010 - 2015 ni la 10 na siyo la 11.
Ufafanuzi tafadhali.

Ufafanuzi umeisha pata. Mwanafunzi mzuri ni yule anayejiongeza mwenyewe. Siyo kila kitu mwalimu. Hapo ki mahesabu tu lilianza 1965.
 
Mikael P Aweda,

Kuanzia kwa Mzee wa ruksa hadi kwa Mr dhaifu inaeleweka vyema.
Swali langu ni kwa JK wa kwanza,tukienda na huo mtiririko wa bunge moja miaka 5 napata utata mahala,tazama ;
Mwaka 60-65=5yr>bunge la 1;
Mwaka 65-70=5yrs>bunge la 2;
Mwaka 70-75=5yrs>bunge la 3;
Mwaka 75-80=5yrs>bunge la 4;
Mwaka 80-85=5yrs ni bunge la ngapi sasa maana mzee wa ruksa umesema kaanza 85 na bunge la 5,na hesabu hii ndio inatuletea bunge la sasa yaani 10.

Majibu tafadhari.

Unaanza mwaka 1960 kwani tulikuwa tumepata uhuru? Infact mabunge yanaanza kuhesabiwa mwaka 1965 baada ya interim constitution kupitishwa.
 
Last edited by a moderator:
uwe unasoma vizuri na kuelewa kaandika ilianza kuesabiwa 1965 kwa maana hiyo bunge la kwanza ni 1965-1970.

Hivi kwa akili yako finyu unaona kila mtu aliyehoji mwaka 1960 ana uelewa mdogo!?,
Wakati uzi unaanzishwa ulikuwa umelala wewe.

Ni hivi Mikael P Aweda ameedit baadae huu uzi wake.Mwanzoni alisema bunge lilianza kuhesabiwa mwaka 1960 na ndipo tukaanza kufanya mahesabu.Yalipogoma ndipo kaja kusema tuanze 1965 badala ya alivyokuwa ameandika mwanzo.
Nadhani umenielewa na hivyo waombe radhi watz uliowaita wanauelewa mdogo.
 
Last edited by a moderator:
Unaanza mwaka 1960 kwani tulikuwa tumepata uhuru? Infact mabunge yanaanza kuhesabiwa mwaka 1965 baada ya interim constitution kupitishwa.

Hilo swali ungemuuliza mtoa post kwamba,kwa nini alisema tuanze kuhesabu 1960 kabla hajaja kuedit baadae.
Hiyo 1965 sisi ndio tumemshauri na akaedit.
 
nimegundua watanzania wengi kuelewa ni shida kaandika bunge la kwanza lilianza kuesabiwa 1965 maana yake liliisha 1970.

Wewe utakuwa mgonjwa Wa akili! Unakurupuka tu bila kuangalia kafanya editing muda gani na hizi post zetu ni za muda gani? Ulipaswa kuangalia hayo kwanza Mgonjwa Wewe!
 
Back
Top Bottom