- Thread starter
- #21
Vijiji vya zamani vilikuwaje? Na zamani ipi unaizungumzia? Na vijiji vya leo vikoje?ili kuwa vijiji vya zamani sasa hivi thubutu akuna hayo tena kabisa
Vijiji vya zamani vilikuwaje? Na zamani ipi unaizungumzia? Na vijiji vya leo vikoje?ili kuwa vijiji vya zamani sasa hivi thubutu akuna hayo tena kabisa
Mkuu, sio zinaonekana ni anasa....ni kwamba hazipatikani, labda kama Mwenge wa uhuru utakuwa unalala kwenye kijiji hicho ndo mwenyekiti wa kijiji anapewa maagizo ahakikishe kondom zinapatikana kwenye ofisi za kijiji.
Issue ni kwamba,
-dispensary pekee iliyopo ni ya kanisa.....hawaweki condom
-maduka matatu au manen yaliyopo hawauzi condom, ya mzee Macha, Kisambeke and Kasiamaka, wote ni waumini wa kanisa katoliki na wanaheshimika kijijini.......how gross it is kuuza condom.
Lakini ukumbuke watu wana pigana kipara kama kawa, ndom hamna, je waache ku do? wanaweza kuwa kama bht na wakina dark city......wasafi wa moyo na mwili?
bht na dark city hilo ni pande tu kwa misimamo yenu isiyotikisika japo undani mnaujua nyie peke yenu
Ndiko bado ambako maambukizi ya ukimwi yanashika kasi; kwani mondoc inaonekana ni anasa!
Kweli,Kwnye baadhi ya vijiji wanajua hiyo zana inaweza kutumika zaidi ya mara moja, so unafua na kuanika then twende kazi.
Na mtu akipata hii elfu kumi anakaa nayo kama wiki hivi akiitazama kutokana na kutoiona kama miezi kadhaa hivi. Very serious kabisa11. Ndiko ambako unaweza kuzunguka mwezi mzima ukitafuta chenchi elfu kumi (10,000)
Ndipo mapenzi murua ya kufirigisana vichakani hupatikana!!
Serious kabisa wanaoharibu hali ya hewa ni wale wanaotoka town kuja kijijiniKijijini, kila kitu ni natural...kuazia misosi hadi mademu.
huu ni ukweli kabisa Mkuu na inawacost maisha yao sana hawa wanawake....ndiko wajawazito wanalazimika kutembea kilometa za kutosha kufuata huduma ktk hospitali za wilaya.
umekumbushwa wapi uko GS?Yaani we acha tu.Umenikumbusha mbali.
umekumbushwa wapi uko GS?
Hii mbinu wanaitumia wengi sana kwani ukija kijijini na buku kumi au tanoi tano tu utaishiwa ndani ya siku mbili za ugeni wako pale na hasa kama ni kijijini kwako ambako kitambo hujafika na unajulikana kuwa unaishi DSMEti alikwenda kijijini kwao na noti za mia tano na buku zenye thaman ya laki2 ili atatue tatizo la kuombwa hela na kitu mtu..