Kijana wa miaka 29 ataiongoza nchi ?

Kijana wa miaka 29 ataiongoza nchi ?

Je ikitokea hii itakuwaje

  • Sijui

    Votes: 2 15.4%
  • Ok

    Votes: 11 84.6%

  • Total voters
    13

andazi

Member
Joined
Jun 7, 2025
Posts
51
Reaction score
221
Ndugu zangu Watanzania, hebu tumuombe Mungu atuepushe na balaa lolote. Nimeota ndoto nzito sana, na natamani ibaki ndoto tu isije ikawa kweli.

Katika ndoto yangu kulikuwa na maandamano makubwa sana nchini, maandamano ambayo yaliitikisa serikali hadi kumlazimu Rais Samia kujiuzulu. Baada ya kujiuzulu, chama tawala CCM kilipendekeza makamu wa rais achukue madaraka kama ilivyo kikatiba, lakini wananchi wengi walikataa.

Cha kushangaza, nikaona kwenye vyombo vya habari kijana wa miaka 29 akitangaza kuwa yeye ndiye rais mpya baada ya kupindua uongozi uliopo. Hapo ndipo mgawanyiko mkubwa ulitokea nchini

Jeshini kulikuwa na askari waliomuunga mkono na wengine waliompinga. Viongozi wa dini nao wakagawanyika. Wanasiasa wakaingia kwenye vitani ya maneno. Hata wananchi wakagawanyika makundi mawili:
Wanaotaka CCM irudi madarakani
Na Wanaotaka yule kijana aendelee kuongoza

Mgawanyiko huo ulipelekea machafuko, mapigano, na hofu kote nchini. Ilikuwa picha mbaya sana — taifa likipoteza amani yake.

Ndugu zangu, hii ilikuwa ndoto tu. Naomba Mungu hatuepushe na ili maana kama hii ndoto ni maono
Eee baba tuepushe
 
Ndugu zangu Watanzania, hebu tumuombe Mungu atuepushe na balaa lolote. Nimeota ndoto nzito sana, na natamani ibaki ndoto tu isije ikawa kweli.

Katika ndoto yangu kulikuwa na maandamano makubwa sana nchini, maandamano ambayo yaliitikisa serikali hadi kumlazimu Rais Samia kujiuzulu. Baada ya kujiuzulu, chama tawala CCM kilipendekeza makamu wa rais achukue madaraka kama ilivyo kikatiba, lakini wananchi wengi walikataa.

Cha kushangaza, nikaona kwenye vyombo vya habari kijana wa miaka 29 akitangaza kuwa yeye ndiye rais mpya baada ya kupindua uongozi uliopo. Hapo ndipo mgawanyiko mkubwa ulitokea nchini

Jeshini kulikuwa na askari waliomuunga mkono na wengine waliompinga. Viongozi wa dini nao wakagawanyika. Wanasiasa wakaingia kwenye vitani ya maneno. Hata wananchi wakagawanyika makundi mawili:
Wanaotaka CCM irudi madarakani
Na Wanaotaka yule kijana aendelee kuongoza

Mgawanyiko huo ulipelekea machafuko, mapigano, na hofu kote nchini. Ilikuwa picha mbaya sana — taifa likipoteza amani yake.

Ndugu zangu, hii ilikuwa ndoto tu. Naomba Mungu hatuepushe na ili maana kama hii ndoto ni maono
Eee baba tuepushe
Ndiyo nani huyo? Abdul au nani?
 
Amkaa,utajikojoleaa,alafu nyie keyboard warriors ni watu wajinga sanaa!!
Kila siku kila mtu anakujaa na utabiri wake,mwisho wa siku utaota unapigwa kidole!!
 
Epuka kulala ukiwa umeshiba sana... Mkoloni mweusi ataondolewa kwa upesi sana na hakutakuwa na mgawanyiko wowote zaidi ya wanywa damu kukimbia nchi
 
Mkuu unalalia godoro gumu au yale malaini?

Vipi usafi wa matandiko na shuka ulizotumia kujifunika upoje?

Hali ya hewa ya chumba ulicholala ipoje joto kali, baridi kali au STP?

Unatumia nyenzo zipi kucontrol hali ya hewa ya chumba unacholalia AC, feni (ya juu au chini) au unaacha madirisha wazi?

Ukinijibu nakuja kukutafsiria ndoto yako.
 
29
2+9 = 11
1+1 = 2

Prophetically number 2 means Division

Tuombee mabaya yasitokee
 
Huyo kijana mwenye miaka 29 uliye muota ni mimi mwakani najiapisha kuwatumikia msiogope ndugu zanguni!
 
Inawezekana nchi kuongozwa na kijana, historia inatuonesha mara kibao imewahi kutokea.
Features

5 youngest ‘presidents’ in Nigeria’s history​

Published by
Ayobami Sanusi
1 year ago (2024)
Youngest Presidents in Nigeria’s history

Nigeria has had a long and complex political history, with several leaders stepping up to lead the nation. Interestingly, some of these leaders (either as Heads of State or President) were relatively young when they assumed the highest office in the country.

Contents

This article lists the youngest presidents in Nigeria’s history according to records and historical data of Nigerian Leadership and the impact they left on Nigeria.

1. General Yakubu Gowon​

General Yakubu Gowon is the youngest president in Nigeria’s history. Born on October 19, 1934, Gowon became Nigeria’s Head of State at 31 after a military coup in 1966.

Despite being very young, Gowon led Nigeria through one of its most challenging periods: the Nigerian Civil War (1967-1970). His presidency lasted from 1966 to 1975, during which he worked towards the country’s reunification after the war. He is remembered for introducing the National Youth Service Corps (NYSC) as part of his efforts to unify the nation
 
Hiyo kweli ni ndoto 😅
 
Ndugu zangu Watanzania, hebu tumuombe Mungu atuepushe na balaa lolote. Nimeota ndoto nzito sana, na natamani ibaki ndoto tu isije ikawa kweli.

Katika ndoto yangu kulikuwa na maandamano makubwa sana nchini, maandamano ambayo yaliitikisa serikali hadi kumlazimu Rais Samia kujiuzulu. Baada ya kujiuzulu, chama tawala CCM kilipendekeza makamu wa rais achukue madaraka kama ilivyo kikatiba, lakini wananchi wengi walikataa.

Cha kushangaza, nikaona kwenye vyombo vya habari kijana wa miaka 29 akitangaza kuwa yeye ndiye rais mpya baada ya kupindua uongozi uliopo. Hapo ndipo mgawanyiko mkubwa ulitokea nchini

Jeshini kulikuwa na askari waliomuunga mkono na wengine waliompinga. Viongozi wa dini nao wakagawanyika. Wanasiasa wakaingia kwenye vitani ya maneno. Hata wananchi wakagawanyika makundi mawili:
Wanaotaka CCM irudi madarakani
Na Wanaotaka yule kijana aendelee kuongoza

Mgawanyiko huo ulipelekea machafuko, mapigano, na hofu kote nchini. Ilikuwa picha mbaya sana — taifa likipoteza amani yake.

Ndugu zangu, hii ilikuwa ndoto tu. Naomba Mungu hatuepushe na ili maana kama hii ndoto ni maono
Eee baba tuepushe
Guys, hii ni ndoto kweli ya andazi, guys, be serious, guys
 
Ndugu zangu Watanzania, hebu tumuombe Mungu atuepushe na balaa lolote. Nimeota ndoto nzito sana, na natamani ibaki ndoto tu isije ikawa kweli.

Katika ndoto yangu kulikuwa na maandamano makubwa sana nchini, maandamano ambayo yaliitikisa serikali hadi kumlazimu Rais Samia kujiuzulu. Baada ya kujiuzulu, chama tawala CCM kilipendekeza makamu wa rais achukue madaraka kama ilivyo kikatiba, lakini wananchi wengi walikataa.

Cha kushangaza, nikaona kwenye vyombo vya habari kijana wa miaka 29 akitangaza kuwa yeye ndiye rais mpya baada ya kupindua uongozi uliopo. Hapo ndipo mgawanyiko mkubwa ulitokea nchini

Jeshini kulikuwa na askari waliomuunga mkono na wengine waliompinga. Viongozi wa dini nao wakagawanyika. Wanasiasa wakaingia kwenye vitani ya maneno. Hata wananchi wakagawanyika makundi mawili:
Wanaotaka CCM irudi madarakani
Na Wanaotaka yule kijana aendelee kuongoza

Mgawanyiko huo ulipelekea machafuko, mapigano, na hofu kote nchini. Ilikuwa picha mbaya sana — taifa likipoteza amani yake.

Ndugu zangu, hii ilikuwa ndoto tu. Naomba Mungu hatuepushe na ili maana kama hii ndoto ni maono
Eee baba tuepushe
Utakuwa ulijinyea
 
Back
Top Bottom