Kijana wa miaka 29 ataiongoza nchi ?

Kijana wa miaka 29 ataiongoza nchi ?

Je ikitokea hii itakuwaje

  • Sijui

    Votes: 2 15.4%
  • Ok

    Votes: 11 84.6%

  • Total voters
    13
Kiongozi akiwa na miaka 25
1765114709404.jpeg

Valentine Strasser alikuwa rais mdogo zaidi wa Afrika wakati alipochukua mamlaka tarehe 29 Aprili 1992 akiwa na umri wa miaka 25 tu.

Hadithi ya kuchukuliwa kwake na jinsi alivyonusurika kwa miaka minne ni moja ambayo inafaa kusimuliwa katika kipindi hiki.

Labda Stressar angeweza kudumu zaidi kama asingefanya makosa mengi. Mambo ya nje kama vile vita nchini Libeŕia ambavyo vilichochewa na madini katika nchi yake pia vilikuwa vinachangia kuyumbisha nchi hiyo.
1765114744434.jpeg

Hatimaye, Strasser aliondoka madarakani mwaka wa 1996 na Kwa sasa Stressar anaishi na mamake mjini Freetown katika umaskini mbaya.

View: https://m.youtube.com/watch?v=5zYIuDmYnfY
 
Ndugu zangu Watanzania, hebu tumuombe Mungu atuepushe na balaa lolote. Nimeota ndoto nzito sana, na natamani ibaki ndoto tu isije ikawa kweli.

Katika ndoto yangu kulikuwa na maandamano makubwa sana nchini, maandamano ambayo yaliitikisa serikali hadi kumlazimu Rais Samia kujiuzulu. Baada ya kujiuzulu, chama tawala CCM kilipendekeza makamu wa rais achukue madaraka kama ilivyo kikatiba, lakini wananchi wengi walikataa.

Cha kushangaza, nikaona kwenye vyombo vya habari kijana wa miaka 29 akitangaza kuwa yeye ndiye rais mpya baada ya kupindua uongozi uliopo. Hapo ndipo mgawanyiko mkubwa ulitokea nchini

Jeshini kulikuwa na askari waliomuunga mkono na wengine waliompinga. Viongozi wa dini nao wakagawanyika. Wanasiasa wakaingia kwenye vitani ya maneno. Hata wananchi wakagawanyika makundi mawili:
Wanaotaka CCM irudi madarakani
Na Wanaotaka yule kijana aendelee kuongoza

Mgawanyiko huo ulipelekea machafuko, mapigano, na hofu kote nchini. Ilikuwa picha mbaya sana — taifa likipoteza amani yake.

Ndugu zangu, hii ilikuwa ndoto tu. Naomba Mungu hatuepushe na ili maana kama hii ndoto ni maono
Eee baba tuepushe
ww jamaa ww juzi juzi hapa nilikuona kwa wahaya pale tandika ule mtaa wenhe vitaa vya rangi mbalimbali usiku na milango wazi

leo hii umekuwa muonaji (nabii) kwel???
 
Back
Top Bottom