GE2025 Kijana wa miaka 26 atangaza nia ya kugombea Jimbo la Geita mjini

GE2025 Kijana wa miaka 26 atangaza nia ya kugombea Jimbo la Geita mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Joto la uchaguzi mkuu likiwa linazidi kupanda kwa baadhi ya wanasiasa katika halamshauri ya manispaa ya Geita Elia John Yohana mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni muhitimu Shahada ya kwanza ya Elimu ya sayansi ametangaza rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 27 Bw. Elia amesema dhamira yake ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Geita Mjini huku akieleza kuwa Geita inatakiwa kukua kimaendeleo kutoka hapa ilipo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya barabara katika kata 13 za manispaa ya Geita .

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha ameongeza kuwasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi mkuu ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu huku akisistiza wananchi kuendelea kulinda amani ya nchi yetu ya Tanzania.

 
Hawa vijana wadogowadogo siasa wamezliua wapi kama si kutafuta sifa na kuwa wasindikizaji tu? Mtoto mdogo unakurupuka kutaka ubunge wakati wakongwe wa siasa wapo, sasa wamchague yeye waache wakongwe? Labda kama anajiweka kwenye ramani ya kisiasa kwa nyakati zijazo si mbaya, vinginevyo atumikie chama na serikali kwa ngazi zingine za chini apate uzoefu ndio apande juu na umri utakuwa umepanda
 
Joto la uchaguzi mkuu likiwa linazidi kupanda kwa baadhi ya wanasiasa katika halamshauri ya manispaa ya Geita Elia John Yohana mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni muhitimu Shahada ya kwanza ya Elimu ya sayansi ametangaza rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 27 Bw. Elia amesema dhamira yake ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Geita Mjini huku akieleza kuwa Geita inatakiwa kukua kimaendeleo kutoka hapa ilipo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya barabara katika kata 13 za manispaa ya Geita .

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha ameongeza kuwasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi mkuu ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu huku akisistiza wananchi kuendelea kulinda amani ya nchi yetu ya Tanzania.

Mwambie kwanza aache kutumia majina ya kikoloni ndio tujue yupo serious ....yaani majina yote ma3 yanautukuza ukoloni
 
Joto la uchaguzi mkuu likiwa linazidi kupanda kwa baadhi ya wanasiasa katika halamshauri ya manispaa ya Geita Elia John Yohana mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni muhitimu Shahada ya kwanza ya Elimu ya sayansi ametangaza rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 27 Bw. Elia amesema dhamira yake ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Geita Mjini huku akieleza kuwa Geita inatakiwa kukua kimaendeleo kutoka hapa ilipo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya barabara katika kata 13 za manispaa ya Geita .

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha ameongeza kuwasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi mkuu ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu huku akisistiza wananchi kuendelea kulinda amani ya nchi yetu ya Tanzania.

Kutangaza nia ni jambo jema.
 
Issue siyo kuwa kijana wa miaka 26, suala ni je, ana kitu kichwani? Nini amewahi kufanya kinavhomtambulisha kuwa ni mahili? Vinginevyo ni upumbavu kujinadi kwa umri.
Kitu alichokifanya kumtambulisga ni mahili ni kutanganza Nia kugombea ubunge.Kijana apewe tuachane na wabunge wa darasa la saba kama msukuma ambaye yeye Huwa ni kusifu tu
 
Hawa vijana wadogowadogo siasa wamezliua wapi kama si kutafuta sifa na kuwa wasindikizaji tu? Mtoto mdogo unakurupuka kutaka ubunge wakati wakongwe wa siasa wapo, sasa wamchague yeye waache wakongwe? Labda kama anajiweka kwenye ramani ya kisiasa kwa nyakati zijazo si mbaya, vinginevyo atumikie chama na serikali kwa ngazi zingine za chini apate uzoefu ndio apande juu na umri utakuwa umepanda
Usijadili mtu, Angalia mawazo na fikira zake! Je zinaleta mustakabali mzuri hapo mbele?

Hao wazee unao wataka tuamini wameshindwa kuliletea hili Taifa maendeleo. Ni wakati Sasa wa vijana.
 
Joto la uchaguzi mkuu likiwa linazidi kupanda kwa baadhi ya wanasiasa katika halamshauri ya manispaa ya Geita Elia John Yohana mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni muhitimu Shahada ya kwanza ya Elimu ya sayansi ametangaza rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 27 Bw. Elia amesema dhamira yake ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Geita Mjini huku akieleza kuwa Geita inatakiwa kukua kimaendeleo kutoka hapa ilipo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya barabara katika kata 13 za manispaa ya Geita .

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha ameongeza kuwasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi mkuu ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu huku akisistiza wananchi kuendelea kulinda amani ya nchi yetu ya Tanzania.


View: https://www.instagram.com/p/DLaYAx8I2q5/?igsh=MTMzc2J5dGJzOTJv
 
Back
Top Bottom