Kijana wa miaka 21 akutwa kwenye timu ya Taifa ya wakufunzi wa Sensa ngazi ya Kitaifa

wankuru nyankuru

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
491
763
Hivi sasa mjini Iringa kuna mafunzo ya TOT wa sensa yanaendelea kwa lengo la walimu hao kwenda kutoa mafunzo ngazi ya mkoa kisha walimu wa ngazi hiii wataenda ngazi ya Tarafa kufundisha makarani wa sensa, wasimamizi wa maudhui na Tehama.

Sasa akiwa ktk hafla ya kusaini makubaliano ya mradi wa kujengewa uwezo wa kitakwimu dhidi ya serikali ya Korea kusini, Dr albina chuwa mtakwimu mkuu wa serikali aliwaeleza TOT hao ambao kwa idadi ni 400 kuwa anajua wote waliopo humu ukumbini ni watu wazima na hatarajii kuona aliye chini ya miaka 25.

Akauliza kama yupo asimame, ndipo kijana mdogo sana akasimama na kusema kuwa ana miaka 21 na anatokea Dar es salaam na kwa sasa anajiandaa kuingia form six.

Hali hii ilileta taharuki kwa TOT kuona kijana mdogo vile kupewa jukumu kubwa kwenda kufundisha walimu wa makarani mikoani.

Hata hivyo Dr chuwa akaanza kulifanyia kazi kwa kujua kijana kawekwa kwenye TOT na nani?
 
Kigezo cha umri kina faida gani? Ikiwa IQ ya mtu ni muhimu zaidi kuliko umri. Huyo kijana anaweza kuwa na umri huo lakini kiutendaji akawa yupo vizuri zaidi ya mwenye miaka 25+
 
Kiukweli kama kigezo kilikuwa ni miaka 25, basi msimtetee huyo kijana wa miaka 21, mara "oooh ana IQ kubwa" Huyo dogo alikuwa anaenda mikoani na viongozi wengine ila asingeseminisha hata mada moja, zaidi ya kula hela ya bure.

Kimsingi kachomekwa vila vigezo.

Kama anajiandaa kwenda form five, jamani tuweni wakweli. Vijana wetu wa siku hizi waliomaliza form IV wanaweza kuseminisha ngazi ya mkoa kuhusu zoezi kubwa la sensa kama hilo?

Angalau wangechukua hata wa miaka 25, ila wawe wamemaliza angalau chuo kikuu.

Mwisho nawauliza hao NBS, hizo nafasi za TOT zilitangazwa lini? Au NBS walitumia vigezo gani kuwapata? Nachojua nafasi ambazo zilitangazwa ni za ngazi ya kata ambazo majina bado hayajatoka.
 
Hivi sasa mjini Iringa kuna mafunzo ya TOT wa sensa yanaendelea kwa lengo la walimu hao kwenda kutoa mafunzo ngazi ya mkoa kisha walimu wa ngazi hiii wataenda ngazi ya Tarafa kufundisha makarani wa sensa, wasimamizi wa maudhui na Tehama.

Sasa akiwa ktk hafla ya kusaini makubaliano ya mradi wa kujengewa uwezo wa kitakwimu dhidi ya serikali ya Korea kusini, Dr albina chuwa mtakwimu mkuu wa serikali aliwaeleza TOT hao ambao kwa idadi ni 400 kuwa anajua wote waliopo humu ukumbini ni watu wazima na hatarajii kuona aliye chini ya miaka 25.

Akauliza kama yupo asimame, ndipo kijana mdogo sana akasimama na kusema kuwa ana miaka 21 na anatokea Dar es salaam na kwa sasa anajiandaa kuingia form six.

Hali hii ilileta taharuki kwa TOT kuona kijana mdogo vile kupewa jukumu kubwa kwenda kufundisha walimu wa makarani mikoani.

Hata hivyo Dr chuwa akaanza kulifanyia kazi kwa kujua kijana kawekwa kwenye TOT na nani? Ikizingatiwa umri ni mdogo sana.

Aidha, kufuatia hali hiyo baadhi ya TOT wakiwa lunch time waliweza kusema kuwa kijana atakuwa amewekwa na vigogo waliopo ndani ya NBS.

Wengine wakasema hali hii ikiendelea hadi ngazi ya mkoa ya kubebana itaharibu zoezi la sensa.

Wengine wakadai kuwa kijana ni mjinga sana kwanini alisimama ? Angekaa kimya tu.

Hata hivyo baadhi wamepongeza idara ya usalama wa taifa kupenyeza watu wao kwenye matukio kama hayo na ndio maana wakamtonya Dr chuwa.

Wengine wakaongeza kwa kusema kuwa wanasubiri kuona kama kijana ataendelea kubaki au atarudishwa home asubirie ukarani.

Wengine wakasema wanataka kuona chuwa atamtafuta aliye fanya hivyo.

Mafunzo yamehudhuriwa na watalaam na wawakilishi kutoka wizara, taasisi, mikoani, Zanzibar, NGOs, mashirika, wizara za ulinzi, vyuo vikuu n.k.
Sasa usalama wa taifa sifa wanapewa hapo ya nini wakati wameshindwa kuzuia huyo mamluki asijuimuishwe,je kama angekaa kimya angegundulika?
 
Hivi ni nchi gani Ile waziri wao mwanamke ana umri wa miaka 26 ...huku kwetu tuna judge uwezo Kwa kuangia umri ...
 
Hivi sasa mjini Iringa kuna mafunzo ya TOT wa sensa yanaendelea kwa lengo la walimu hao kwenda kutoa mafunzo ngazi ya mkoa kisha walimu wa ngazi hiii wataenda ngazi ya Tarafa kufundisha makarani wa sensa, wasimamizi wa maudhui na Tehama.

Sasa akiwa ktk hafla ya kusaini makubaliano ya mradi wa kujengewa uwezo wa kitakwimu dhidi ya serikali ya Korea kusini, Dr albina chuwa mtakwimu mkuu wa serikali aliwaeleza TOT hao ambao kwa idadi ni 400 kuwa anajua wote waliopo humu ukumbini ni watu wazima na hatarajii kuona aliye chini ya miaka 25.

Akauliza kama yupo asimame, ndipo kijana mdogo sana akasimama na kusema kuwa ana miaka 21 na anatokea Dar es salaam na kwa sasa anajiandaa kuingia form six.

Hali hii ilileta taharuki kwa TOT kuona kijana mdogo vile kupewa jukumu kubwa kwenda kufundisha walimu wa makarani mikoani.

Hata hivyo Dr chuwa akaanza kulifanyia kazi kwa kujua kijana kawekwa kwenye TOT na nani?
Chuwa hatarini .
 
Hivi sasa mjini Iringa kuna mafunzo ya TOT wa sensa yanaendelea kwa lengo la walimu hao kwenda kutoa mafunzo ngazi ya mkoa kisha walimu wa ngazi hiii wataenda ngazi ya Tarafa kufundisha makarani wa sensa, wasimamizi wa maudhui na Tehama.

Sasa akiwa ktk hafla ya kusaini makubaliano ya mradi wa kujengewa uwezo wa kitakwimu dhidi ya serikali ya Korea kusini, Dr albina chuwa mtakwimu mkuu wa serikali aliwaeleza TOT hao ambao kwa idadi ni 400 kuwa anajua wote waliopo humu ukumbini ni watu wazima na hatarajii kuona aliye chini ya miaka 25.

Akauliza kama yupo asimame, ndipo kijana mdogo sana akasimama na kusema kuwa ana miaka 21 na anatokea Dar es salaam na kwa sasa anajiandaa kuingia form six.

Hali hii ilileta taharuki kwa TOT kuona kijana mdogo vile kupewa jukumu kubwa kwenda kufundisha walimu wa makarani mikoani.

Hata hivyo Dr chuwa akaanza kulifanyia kazi kwa kujua kijana kawekwa kwenye TOT na nani?
Miaka 21 kisheria Ni mtu mzima
 
Back
Top Bottom