Kijana wa Kiume wa kuuza Duka -Hardware

Kijana wa Kiume wa kuuza Duka -Hardware

Tembele

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2011
Posts
1,154
Reaction score
350
NAFASI YA KAZI

Anatafutwa Kijana wa Kiume wa kuuza duka -Hardware (tarehe ya mwisho 15/7/2025).

SIFA
🔹Awe amemaliza Kidato cha 4
🔹ANAEJUA HESABU
🔹Umri miaka 20 au zaidi
🔹ANAEISHI MADALE, WAZO, KULANGWA au maeneo jirani.
🔹Mwenye uzoefu atapewa kipaumbele.
🔹Muombaji atume maelezo mafupi kuhusu yeye kwa whatsap/meseji 0755171925.
 
Ongeza kwenye CV yake awe muhitimu wa VETA.
Kazi ni kipimo cha utu
 
NAFASI YA KAZI

Anatafutwa Kijana wa Kiume wa kuuza duka -Hardware (tarehe ya mwisho 15/7/2025).

SIFA
🔹Awe amemaliza Kidato cha 4
🔹ANAEJUA HESABU
🔹Umri miaka 20 au zaidi
🔹ANAEISHI MADALE, WAZO, KULANGWA au maeneo jirani.
🔹Mwenye uzoefu atapewa kipaumbele.
🔹Muombaji atume maelezo mafupi kuhusu yeye kwa whatsap/meseji 0755171925.
vp ushapata kijana?
 
Hapana sio wote vijana tupo serious na kazi life likikupiga akili inakuwa sawa sawa,
Muda wa kutafuta kazi ndo huwa mpo hivi ngoja muipate sasa.....
Mi nna kijana ananiboa sana kero yake kubwa ni kuchelewa chelewa kazini na akiwa na dharura hasemi, na simu hapokei ananikera mnoooo....

Ila uaminifu 99% hata nikisahau hela nitaikuta yani sio mwizi kabisa, hiki tu ndo kinafanya nivumilie ufala wake.

Nawaza naweza kumtimua nikaleta kibaka.
 
Back
Top Bottom